Recent content by KuleleMasota

  1. K

    Mtanzania akamatwa Kenya kwa tuhuma za ugaidi

    Tusilaumiane kwa hilo Serikali inatakiwa kutatua tatizo la ajira kwa vijana na kupunguza umasikini vinginevyo hakuna suruhu hapo. Mbona hamshangai watu wameenda kupigana Afghanistani Iraq, kwa waasi sehemu mbalimbali. Ni jukumu la serikali kuwa makini na jambo hilo.
  2. K

    Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

    Mkuu hawa sisiem ni mfa maji haishi kutapatapa nawaomba wasome kitabu cha Daniel 5:1 na kuendelea na Warumi 3:10 - 15. Muda wao umeisha wanajaribu kuwaaminisha wananchi kiusanii.
  3. K

    UKAWA waanza kutibuana kwenye kugawana mitaa Dar es Salaam

    hata huku mwanza mambo ndo hayo hayo. viongozi wa ngazi za juu wangetumia muda wao kuja kutoa elimu yani kuwaelimisha wanachama wao mamna ya kuungana na umuhimu wa kuungana. Sababu kama chama cha Cuf kina wafuasi sawa lakini wagombea wao hawakubaliki katika jamii kwa sababu ya kuendekeza udini...
  4. K

    BAJETI: Serikali kurejesha Kodi ya SimuKadi, walevi kukiona--waanze kujizoesha kunywa maji!

    Hawana lolote la kuwaendeleza wananchi wanazoongeza kwenye kodi ya vinywaji na Simcard ni mwendelezo wao wa ufisadi wa kukusanya fedha za kampeni mwaka 2015. Maana wajomba wa majuu wameshawashtukia hawaleti pesa ambazo hazifanyi kazi. Hivi jiulize miaka yote ongezeko ni kodi ya vitu vilele mbona...
  5. K

    Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

    mjinga wewe tutolee upuuzi wako kama una tatozo la kufikiri kaaguliwe kwanza. Acha ukusifia upuuzi
  6. K

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    wanaccm ni wanafiki pamoja na huyo Kessy ana kesi ya kujibu dhidi ya Wazanzibar alivyowasimanga wakati ndo wanawategemea katika theruthi mbili ili wapitishe rasimu ya katiba. Na kama waliliona hilo kuwa wazanzibar ni mzigo kwa nini wanapoteza muda wao mwingi kujadili kuhusu aina ya muungano...
  7. K

    Tanganyika(TANU) imetoka mbali waasisi wake wengi wao wametangulia mbele ya haki

    we ndo umeupamba ukurasa kwa historia iliyosahaulika hongera sana sio kila cku siasa za kujipa ujiko usioisha.Hayo ndo yalikuwa majembe acha sasa wachumia tumbo na kufikiri kwa kutumia makalio R.I.P all Majembez
  8. K

    Ugomvi wa Mengi na Prof. Muhongo nani msuluhishi?

    ngoma ya kitoto haikeshi
  9. K

    Warioba ashitakiwe

    Hii Thread haina maana yoyote mana imeandikwa na mtu asiyejua ki2 yani mbulula. JK unaweza kumlinganisha na Warioba. Huyu mzee ndo mzalendo wa kweli kwani kudai Tanganyika ndo usaliti au uhaini msiandike vitu kwa ushabiki wa simba na yanga. Kama unataka ujue ukweli kuwa Tanganyika ilikuwepo soma...
  10. K

    Bado Tanzania hatuna watetezi ambao wakitumbukia kwenye maslahi yao binafsi wanaweza kusimama kidete

    Masomi ya tz sio yakuyaamini ndo mabwege kabisa hata unapoteza muda kuyafagilia mana humo kwenye bunge la katiba asilimia 80 ni wasomi unataka wasomi wa aina gani yani hilo bunge ni funika kombe mwanaharamu apite tafakari
  11. K

    Wabunge wagomea posho ya laki 3, wasema ni ndogo

    Hawa jamaa wamenekana ni limbukeni kwa sababu unaweza kuwa na digrii za saba but your still a fool or ignorance sababu madai yao hayana msingi kwani huko walienda kufanya biashara au kwenda kutengeneza katiba ambayo inawahusu sisi na wao wa watoto wetu watakokuja huko siku za usoni. Madai ya...
  12. K

    Mpasuko CCM: Watofautiana juu ya Serikali mbili

    We unayesema CCM inawasomi wengi ina mana usomi wao ndo wana hati miliki yakutuchagulia sisi wananchi serikali wanayoitaka wao kwani CCM ndo wameiumba Tanzania au wamewazaa watanzania? KUsoma sio hoja unaweza kusoma ukawa na digrii nyingi lakini ukatoka bila kuelimika. Aidha umeenda kukua au...
  13. K

    Tabia ambazo sikuzipenda kipindi chake chote cha utawala na siko tayari kumsamehe!

    Amelifanya taifa letu kuwa ombaomba ni aibu Rais anasema anapokwenda ulaya anaenda kuhemea. Ila tunayataka sisi wenyewe chaguzi ndogondogo tunawarudisha haohao lazima wawe na kibri. Adhabu yao ilitakiwa kuwanyima kura tusisubiri 2015 chaguzi ndogo ndo mtihani tosha. na timu unaiona kwenye mechi...
  14. K

    Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

    Mbulula we ina mana maisha yako unaangalizia kwa wahindi naumeona wahindi tu ndo matajiri. tatizo lako umeingia mjini juzi kutoka kijijini. we hujui siri ya utajiri wa wahindi. mfumo wao umeanzia jamatini. kwa hiyo na wewe acha kuweka Tv hata nyumbaoni kwako uone kama utatajirika ----- we
  15. K

    CV YA Jenista Mhagama Naibu Waziri wa Elimu 2014-2015

    ye2 macho usanii 2meuzoea mbwembwe nyingi utendaji duni. hayo maelezo ayapeleke kwenye historia ya mazishi sisi tunaka uwajibikaji
Back
Top Bottom