Recent content by kukumgeni

  1. K

    Tumuombe apate Busara na Hekima JPM

    Hilo Bunge kuna gani cha maana wanachojadili na hakifanyiwi kazi au Bunge likioneshwa live tukaanza kuwaona wauza sura wakitokwa na mapovu ndio la msingi. Wajadili hoja matokeo wananchi tutayaona ktk maendeleo sura na sauti zao si muhimu
  2. K

    Azam tv, kuna kero wakati wa mvua hatupati channel

    Hata kama unatetea Azam wamezidi mpaka wanaboa aiseee
  3. K

    Yuko wapi Emmanuel Buhohela?

    Umejuaje jamaa hajasoma "no research no right to speak" kama kasoma akikushtaki kwa kumkashifu utasema kakuonea!! weka akiba ya maneno
  4. K

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Endapo nimeishi na mume wangu kwa takribani miaka mitano na katika kipindi hicho ndani ya miaka mitatu hatujakutana kimwili na mume sababu kubwa ikiwa ni yeye japo hasemi kama ana tatizo ama la naweza kuachana nae!?
Back
Top Bottom