Hilo Bunge kuna gani cha maana wanachojadili na hakifanyiwi kazi au Bunge likioneshwa live tukaanza kuwaona wauza sura wakitokwa na mapovu ndio la msingi. Wajadili hoja matokeo wananchi tutayaona ktk maendeleo sura na sauti zao si muhimu
Endapo nimeishi na mume wangu kwa takribani miaka mitano na katika kipindi hicho ndani ya miaka mitatu hatujakutana kimwili na mume sababu kubwa ikiwa ni yeye japo hasemi kama ana tatizo ama la naweza kuachana nae!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.