Recent content by kuku wa kienyeji

  1. K

    Natafuta Shamba Kisaki Ekari 50. Mwenyeji uko, tuambie bei zinaendaje?

    Natafuta Shamba Kisaki Morogoro Ekari 50. Mwenyeji uko, tuambie bei zinaendaje?
  2. K

    Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

    Kwenye kiwanja, uchukue na hela japo ya kuzungishia ukuta kama wakiwa wachoyo ya kukupa ya kujenga. Lasivo, hiko kiwanja ulichonunua kitakuwa ndani ya tumbo la muuzaji.
  3. K

    Ukiwa na CPA unaweza kusoma masters?

    Kiongozi bado sijaelewa uwongo wangu uko wapi. Hiyo ishu ya miaka mitatu na B5 ni shida ya mtu binafsi. Nilichokisema ni kwamba UKIWA BRIGHT NA SMART, unaweza kumaliza CPA within 2.5yrs. Sio mimi nasema hivo, ni syllabus Hiyo ishu ya miaka 3 nahisi hujaielewa vizuri na haiko hivo unavofikiria...
  4. K

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Fursa nyingine inakuja soon. TCCIA will have an IPO soon Within 3 months
  5. K

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Waliokosa opportunity ya DSE, get your feets wet. The next opportunity is coming within 5 months Ref sec 11 of the new Finance Act 2016. The section relates with ammendments of sec 26 of Electronic and communication act Cap 306 Network providers companies like tigo etc are required to offer...
  6. K

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Smart people always play with peoples emotions in stock markets just go through the today DSE daily report. U will have noticed something If u want to succeed, u need to control your emotion always
  7. K

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Demutualization ya soko imetendeka. Now its shares are listed in its own floor. Bei kupanda twice is not necessarily meaning its financial performance is good. Ni watu tu wana favourablr expectation on its future performance. We believe the market will expand and new products will be introduced...
  8. K

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Hey bro Would u mind comment on the DSE shares's performance ? How do you see them after 6 month or a year to come
  9. K

    Naitaji share holder

    Brother, a word of advice. Sidhani kama hii ni njia nzuri ya kutafuta business partner. I can assure you kutafuta mke ni rahisi sana kuliko kutafuta business partner. Najua kuna watu unawafahamu kwa muda mrefu na huko nao kwenye hio fani. Hao ndio your first potential business partners...
  10. K

    Natamani niwe na miradi yangu binafsi

    Ni muhimu kuanza kujifunza kazi kwanza kabla ya kujiajiri mwenyewe.…tafuta sehemh upige kibarau kama ulivoshauriwa ila wakati unapiga kazi anza kufungua miradi yako kidogokidogo, leo unanunua mikokoteni unaanza kukodishia watu, kesho unanunua pikipiki unamwajiri mtu, kesho kutwa taxi, kesho yake...
  11. K

    Mwenye update ya hawa TTCL Kuhusu Usaili kwa nafasi za March 2015

    Mimi hata wakiniita kazini siendi…Kama recruitment process inachukua muda mrefu kiasi hiko, hiyo mishahara si itatoka tarehe za Sitini huko
  12. K

    Namaliza degree mwezi ujao, nitaenda wapi?

    Ukitaka kujua utamu wa ngoma, ingia nawe uicheze… Zile kazi unazoziona, ni kazi hewa…wahuni wamekuwa wengi sana
Back
Top Bottom