Ukiwa na CPA unaweza kusoma masters?

Ukiwa na CPA unaweza kusoma masters?

Kama uko serious and bright, maximum years 2.5 unakuwa CPA. Hapo umeanzia chini kabisa Atec 1
Acha kuongopa mkuu!FYI saivi una unafanya one stage kwa miaka mitatu usipofaulu unarudishwa stage ya nyuma yake! MA(B5) inashikilia sana watu na nimesikia bodi wameanda semina jinsi ya kusoma na kuapproach maswali ya MA(B5)
 
nimewaelewa, asanteni sana. One more question, SINA MSINGI WOWOTE WA ACCOUNTS JE NAWEZA KUPATA CPA NDANI YA MWAKA HUU AU MWAKANI KATIKATI ili niweze kuapply master? hivi sasa nafanya kazi hivyo muda nilio nao ni jioni na weekend tu .
Kama una digrii yoyote CPA utasoma level 3; foundation, intermidiate na final.
 
Acha kuongopa mkuu!FYI saivi una unafanya one stage kwa miaka mitatu usipofaulu unarudishwa stage ya nyuma yake! MA(B5) inashikilia sana watu na nimesikia bodi wameanda semina jinsi ya kusoma na kuapproach maswali ya MA(B5)
Kiongozi bado sijaelewa uwongo wangu uko wapi.
Hiyo ishu ya miaka mitatu na B5 ni shida ya mtu binafsi. Nilichokisema ni kwamba UKIWA BRIGHT NA SMART, unaweza kumaliza CPA within 2.5yrs. Sio mimi nasema hivo, ni syllabus

Hiyo ishu ya miaka 3 nahisi hujaielewa vizuri na haiko hivo unavofikiria. Syllabus inasema kwa mfano ukiwa foundation stage, ukashindwa kuimaliza within 3yrs from the day u have started it. wanafuta papers zote ambazo umefaulu na unairudia hiyo stage upya na sio unarudishwa stage ya nyuma. Huu ndo uelewa wangu kiongozi. Correct me if i am wrong
 
Kaka nowdays ipo new syllabus ambayo ina
1. foundation(5subject)
2. intermediate(6subject)
3. final stage(4subject)..

So Non accounting degree(or kama mtu ana level za chini za CPA) anaanzia foundation stage and accounting degree unaanzia intermediate stage.
So kiongozi jipimie mwenyewe level yako ya elimu......Point yako ya kumaliza withini mwaka mmoja ni kazi au haiwezekani cause huwezi kwenda new stage bila kumaliza stage. CPA inaitaji NIDHAMU KIONGOZI.
Samahani ndugu naomba unieleweshe kidogo...kwamba mwene diploma anaanza na stage ya foundation na mwene degree anaanza na intermediate?! Na stage hizo zinachukua muda gani kumaliza??
Na ukimaliza hizo stage ndo unakua na uwezo wa kuingia masters?
 
Kiongozi bado sijaelewa uwongo wangu uko wapi.
Hiyo ishu ya miaka mitatu na B5 ni shida ya mtu binafsi. Nilichokisema ni kwamba UKIWA BRIGHT NA SMART, unaweza kumaliza CPA within 2.5yrs. Sio mimi nasema hivo, ni syllabus

Hiyo ishu ya miaka 3 nahisi hujaielewa vizuri na haiko hivo unavofikiria. Syllabus inasema kwa mfano ukiwa foundation stage, ukashindwa kuimaliza within 3yrs from the day u have started it. wanafuta papers zote ambazo umefaulu na unairudia hiyo stage upya na sio unarudishwa stage ya nyuma. Huu ndo uelewa wangu kiongozi. Correct me if i am wrong
Sure! Ua correct wanafuta paper za ile level and then unaresit
 
Angalia prospectus Za vyuo vingi Zinaruhusu
 
acca ndo nzuri ukiwa na acca unakuwa granted masters from london university then unamaliza acca unapiga phd
cpa nao inabidi waige huo mfano yaani wacolaborate na vyuo husika yaani mtu aweze kugraduate proffesion exam na academic exam at the same time
 
Back
Top Bottom