Mkuu iko hivi.
Huwa nawekewa fedha zangu kwenye kadi Tanzania,then ninatoa huku niliko.charges za kawaida ninakatwa.tatizo limekuja juzi nilifanyiwa online transfer ya tsh 200,000.salio lililopo ni pungufu ya 130,000.na maximum ya kutoa fedha kwa mwezi ni tsh 18 million.na sijawahi fikisha hyo...
Mi ndiye ninaye itumia kadi.nimeingia online ,hyo overdraw siion.nimeomba statement wamenipa.wame hilight sehemu wanayo dai ni overdraw ,lakin ni siku niliyotoa kiasi kamili cha pesa.nachojiuliza inawezekana vip ku overdraw 400,000 katika kadi y kwanza na 130,000 kqtika kadi ya...
wakuu salaam kwenu
Ndugu yenu ninashida inayonitatiza upande wa visa prepaid card.nina visa prepaid card ya UBA,nilikuwa na visa prepaid card ya kwanza mwaka jana october,katika mazingira ya kutatanisha nilipoweka hela nikakatwa tsh 400,000.niliwatumia bank email,wakanijibu kuwa nimekatwa hela...
Nilimaanisha unaweza ukaambiwa chuo knatambulika coz wao wanataka u enroll tu.then unapata 100% scholarship?kuwa makin sana na agences ,mnaweza kushikana uchawi nchi za watu
Kusoma nje ya nchi lazma ujaribu kutafuta vyuo ambavyo kuna watu washasoma na wamekuwa recognized na degree walotoka nayo huko.nimeona hii kitu pia ,mtu akikutajia chuo alchopo unajiulza alikipataje coz huwez kukuta details za chuo sehemu yoyote.
BTW ,ukifanikiwa kuja karbu sana china,utatukuta
Nan wanaofadhili masomo?coz kama ni serikali lazma chuo ktakuwa recognized,ila kama sio,then tafuta details zake kabla hujapukutisha 6 years pale.pia unapata full scholarship?coz kama unasehemu ya kujilipia yawezekana jamaa wanataka kupga hela tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.