R
roho inaniumaga sana nikiona kijana msomi na ubongo wako kabisa na sehem zake tatu hafu unashangilia cccm ,hiyo mahakama ya mafisadi mbona juzi magufuli huko maswa alimshika mkona nyoka wa makengeza na kumnadi kwa kwa watu ?
Rais lowasa c alishasema richimondi aliyeipitisha? Na nyinyi mseme cyo kuwategea2 watoto wa watu@paul makonda # nape nauye yeye rais lowassa anasubili kusambaza barua za serikali za kumualifu kuwa serikali imeingia mkataba na richimondi kati ya tarehe 21 june na ika be recived 22 june na ipo...
acheni upuuuz bhana huyo arafata hizo hizo sheria za kutetea chama 2 acheni kuvuliwa nguo kizembe uzuri hapa nikutafuta mabadiliko kwingine hayo ni yaleyale na watarudi walewale unafikili watakua kinanani wapya ambao ni wazuri badilikeni bhana nyieee
Watanzania mlivyo wachovu mshalegezwa saiv na magufuli ,kwan huyo ataivunja hayo mambo mabaya wa zeee wa cccm? Mbona mnakuwa wepesi kuvuliwa ngua? Hamfikiliii kabisa huyo kama atatekeleza ilani yao2 ya kuvunja sheria na kutetea chama au mmesahau kikweteee mlimpokea je na ameharibu je? Acheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.