Vipi kuhusu wanaowapeleka porini/jando na kuwatahiri bila ganzi...wewe kama mzazi unalionaje hili? Naomba useme neno pia hapo kwenye kuwatoboa masikio mabinti wadogo, ikiwezekana tupatie na uzoefu wako ili tuokoe kizazi.
1. Una uhakika gani kama hawashikiwi na roho mtakatifu au ni wivu tu?
2. Kwani kuna formula ya kunena kwa lugha?
3. Kwani kwa kufanya hivyo wanatenda dhambi?
OMBA TOBA ILI MUNGU AKUSAMEHE!
Ulipaswa kumpeleka mahakamani na kumdai fidia kwa kuhatarisha afya yako. Umeharibu kumpiga...atakupeleka mahakama na atakudai fidia kwa kumdhuru...kesi ya jinai hiyo!
NAWASHUKURU SANA WOTE MLIOJITOKEZA NIKUSHAURI NA KUNITIA MOYO. NINAWASHUKURU PIA MLIONITUKANA, MLIONIDHIHAKI NA KUNIBEZA.
SOON NITAWALETEA MREJESHO WA MAPITO YANGU.
Kwa hiyo unachukua boom Dar, unaenda kispend A~town?
Kuna watoto wa Maskini wamekosa boom wameacha chuo. We fala umepata boom umeamua kulitumia kucheza kamali.....Kweli???
Nyie ndio mnaowapotosha hata watoto wanapokea mtazamo hasi kwenye hesabu. Hesabu ni rahisi saaana!
Kila kitu kwenye maisha ni hesabu...kula ni hesabu, kuongea ni hesabu, kutembea ni hesabu, kuimba ni hesabu, kucheza ni hesabu...kumtongoza demu kunahitaji hesabu pia.
Angalia mwenendo wa maisha/tabia yako mkuu! Penda kutenda matendo mema epuka matendo mabaya!
Na kama kuna mahali ulidhurumu au kuiba nenda ukarudishe...au nenda kanisani ukatubu na kumrudia Mungu.
USICHUKULIE POA!
Mi hua sichangii kindezindezi mkuu, labda uwe mtu wangu wa karibu saaana ndiyo ninaweza kukuchangia. Maisha tight sana...huku KODI ya serikali, ukigeuka huku unakutana na TOZO, hujafika mbali KODI ya nyumba hiyo hapo inakisubiri...ukiangalia mbele kidogo unaona ADA ya shule ya watoto...
2004/2005 tulianzishi kunji kupinga HESLB tukiongozwa na Bahati Tweve. Safari yetu ya kuelekea Ikulu kumwona Rais Mkapa kumweleza jambo letu iliishia UCLAS hatukufanikiwa kuvuka Survey...Tulipigwa na wazee wa ngunguri hatareeeee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.