Recent content by KUHANIMKUU

  1. KUHANIMKUU

    Tabia za Kuwatahiri watoto wadogo na kuwatoboa masikio na pua mabinti wadogo zinapaswa kulaaniwa na kukomeshwa

    Vipi kuhusu wanaowapeleka porini/jando na kuwatahiri bila ganzi...wewe kama mzazi unalionaje hili? Naomba useme neno pia hapo kwenye kuwatoboa masikio mabinti wadogo, ikiwezekana tupatie na uzoefu wako ili tuokoe kizazi.
  2. KUHANIMKUU

    Kunena kwa lugha kwa kuiga kulivyoshusha hadhi ya ulokole

    1. Una uhakika gani kama hawashikiwi na roho mtakatifu au ni wivu tu? 2. Kwani kuna formula ya kunena kwa lugha? 3. Kwani kwa kufanya hivyo wanatenda dhambi? OMBA TOBA ILI MUNGU AKUSAMEHE!
  3. KUHANIMKUU

    Rais Samia: Katiba mpya hadi watu wasome waelewe maana ya katiba hata hii tuliyonayo

    Acha watu wakapige hela watakaopata nafasi ya kuzunguka kutoa elimu kwa wananchi
  4. KUHANIMKUU

    Naomba Ushauri: Nimepata Kesi baada ya kumpiga mvuta sigara

    Ulipaswa kumpeleka mahakamani na kumdai fidia kwa kuhatarisha afya yako. Umeharibu kumpiga...atakupeleka mahakama na atakudai fidia kwa kumdhuru...kesi ya jinai hiyo!
  5. KUHANIMKUU

    Yamenikuta China naiona jela inaniita, nisaidieni mwenzenu ninusurike

    NAWASHUKURU SANA WOTE MLIOJITOKEZA NIKUSHAURI NA KUNITIA MOYO. NINAWASHUKURU PIA MLIONITUKANA, MLIONIDHIHAKI NA KUNIBEZA. SOON NITAWALETEA MREJESHO WA MAPITO YANGU.
  6. KUHANIMKUU

    Kungekuwa na sheria ya "kila mwanamke aolewe na mwanaume aliyemkata utepe"

    Kuna wadada wengi warembo/celebrities wangeolewa na wanaume wa ajabu sana!!
  7. KUHANIMKUU

    Wazazi wanajua nipo Chuo Dar wakati mimi nipo Arusha; Wamenitembelea kimya kimya

    Kwa hiyo unachukua boom Dar, unaenda kispend A~town? Kuna watoto wa Maskini wamekosa boom wameacha chuo. We fala umepata boom umeamua kulitumia kucheza kamali.....Kweli???
  8. KUHANIMKUU

    Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

    Mil 100 hata nyumba ya Kuishi tu ya kawaida haitoboi...Wewe unaongelea kujenga hotel kweli!?
  9. KUHANIMKUU

    Waliogundua hesabu ngumu walikuwa wanatafuta nini na walizigunduaje?

    Nyie ndio mnaowapotosha hata watoto wanapokea mtazamo hasi kwenye hesabu. Hesabu ni rahisi saaana! Kila kitu kwenye maisha ni hesabu...kula ni hesabu, kuongea ni hesabu, kutembea ni hesabu, kuimba ni hesabu, kucheza ni hesabu...kumtongoza demu kunahitaji hesabu pia.
  10. KUHANIMKUU

    Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

    Una elimu gani mkuu!? Au wewe ndiyo wale wenzake na Mh. Msukuma (LY)...STD 7[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  11. KUHANIMKUU

    Kunguru kunidonyoa kichwani

    Angalia mwenendo wa maisha/tabia yako mkuu! Penda kutenda matendo mema epuka matendo mabaya! Na kama kuna mahali ulidhurumu au kuiba nenda ukarudishe...au nenda kanisani ukatubu na kumrudia Mungu. USICHUKULIE POA!
  12. KUHANIMKUU

    Je, huu ni mwendelezo wa Serikali kutudharau Walimu Shule za Msingi?

    Ishukuru serikali imekupunguzia mzigo...Sasa ungeenda kusimamia hiyo mitihani hizo karatasi Stadi za Kazi nani angekisahihishia?
  13. KUHANIMKUU

    Changamoto ya michango ya harusi

    Mi hua sichangii kindezindezi mkuu, labda uwe mtu wangu wa karibu saaana ndiyo ninaweza kukuchangia. Maisha tight sana...huku KODI ya serikali, ukigeuka huku unakutana na TOZO, hujafika mbali KODI ya nyumba hiyo hapo inakisubiri...ukiangalia mbele kidogo unaona ADA ya shule ya watoto...
  14. KUHANIMKUU

    Tukumbushane maisha ya UDSM enzi hizo, wazee wa Bibo na Main Campus

    2004/2005 tulianzishi kunji kupinga HESLB tukiongozwa na Bahati Tweve. Safari yetu ya kuelekea Ikulu kumwona Rais Mkapa kumweleza jambo letu iliishia UCLAS hatukufanikiwa kuvuka Survey...Tulipigwa na wazee wa ngunguri hatareeeee.
Back
Top Bottom