Recent content by Kugosola

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hongera Mathew Kilama kwa Kuteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma

    The Banana Republic!!😆😆😆😆 Kuna thesis ya mtahiniwa mmoja kichwa cha habari kimeandikwa hivi; "The Tanzania Civil Servants Appeal Authorities Surprisingly" kwa maana ya kwamba utendaji kazi wake ni wa hovyo kabisa, haki za watumishi zinadhurumiwa kwa makusudi kabisa. Mh. Rais Samia Suluhu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mtayarishaji wa Kipindi cha Watoto TBC ana ubaguzi

    Haiku kuwa hiyo ni television ya Taifa na sio ya kiislam. Hopeless kabisa Shining!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Japhet Hasunga: Deni la kodi ya Ths trilioni 300 za makinikia ni aibu kwa nchi, hazina uhalisia

    Halafu Prof. Mruma na Ossoro walipewa magari mazito hadi ulinzi mkali. Sijui wana walinzi mpaka sasa??
  4. K

    JamiiForums Tanzania Japhet Hasunga: Deni la kodi ya Ths trilioni 300 za makinikia ni aibu kwa nchi, hazina uhalisia

    Sio professional rubbish bali ni PROFESSORIAL RUBBISH 😆😆
  5. K

    JamiiForums Tanzania RC Makalla asema hakuna shule iliyouzwa Kurasini, aagiza CAG kufanya ukaguzi maalumu

    Kwahiyo Jokate DC wa Temeke ni muongo na mlopokaji kawadharirisha wenzake bure !!
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu, karibu tena Sekta ya Afya. Ukifika Bohari ya Dawa MSD tupia jicho pia kwenye haya...

    Kwani maeneo mengine ya Tanzania sio sehemu ya SADC?? why Njombe tu? mbona MSD ina maeneo na makubwa tu ambayo hayakutakiwa kulipiwa chochote badala ya kulipa fidia! hayo ni matumizi mabaya ya fedha za Watanzania. MSD ina maeneo makubwa sehem u za Mwanza, Manyara, Mbeya n.k. Kama ni issue ya...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar usimfiche Charles Hillary kwapani, mwache atimize wajibu wake

    Katibu Mkuu Kiongozi wa Zenj ni tatizo kubwa, protocol hazijui na amewai lalamikiwa humu JF kuhusu tatizo la mawasiliano alilo nalo.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwaheri Ayubu Ryoba, karibu Zuhura Yunus TBC?

    Aaaaaaaaaaa!!! Zuhura Yunus kushika nafasi ya u-DG TBC bado, anahitaji kujifunza zaidi ukizingatia nafasi ya u-DG is more managerial kuliko kutangaza. Kama ataenda TBC kwa nafasi ya utangazaji ni sawa, lakini sio ya kuongoza watu, vifaa n.k
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mahojiano na Rais Samia: Natumaini Dkt. Ryoba ataanzia pale alipoishia Salim Kikeke badala ya kurudia maswali yale yale

    Aaaaaaa!!! hii ki-protocol imekaaje? Isije ikaonekana ni insubordination kwa Dr. Ryoba kumuhoji bosi wake, ni kweli atamhoji maswala kuntu yenye mantiki na tija kwa Taifa kutokana na yanayoendelea currently katika nchi hii? Au itakuwa ni danganya toto kwetu kwamba Mh. Rais kahojiwa na chombo...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

    Hizi ni geresha za MSD ili kuwabrainwash watanzania kutokana na uhaba wa dawa uliokithiri
  11. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

    Ni usanii mtupu!!! Tunataka dawa mahospitalini!!! hizi zingine ni geresha!!
  12. K

    JamiiForums Tanzania Neema kwa wafanyakazi, CRDB imeshusha riba hadi 13% kwa wafanyakazi na 9% kwa wakulima

    Je, na riba ya Bank ya Kilimo ni kiasi gani??
  13. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy Mwalimu: Maduka ya Dawa nje ya hospitali yaliyo ndani ya mita 500 kuondolewa

    Asante Waziri kwa jitihada zako za kuhakikisha sekta ya afya inawajibika ipasavyo kwa wananchi. Lakini naona kama unazunguka sana kuhusu kutatua tatizo la uhaba wa dawa mahospitalini. Wiki iliyopita hapa JF tulitoa maelezo kwa kifupi kuhusu sababu za uhaba wa dawa kwamba ni kwasababu ya...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Hongera Mathew Kilama kwa Kuteuliwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma

    Pole sana ndugu yangu. Eti kuna kilaza mmoja ofisi ya Tume tena ni senior official kabisa anajitetea kwamba eti Tume inavunja Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma kwa kuchelewa kutoa maamuzi ya rufaa za watumishi wa umma kwasababu eti maofisa wa Tume ni wachache, this is hopeless to the...
Back
Top Bottom