Recent content by KUFULIMBILI

  1. K

    Maalim Seif ni tatizo CUF

    Sijui una umri gani au unafahamu chochote, kuhusiana na mambo ya kisiasa, ngoja nikujulishe jambo moja dogo sana Maalim seif ni mwanasiasa pekee katika nchi hii ambae ana mtaji wa kudumu wa kiaiasa usio filisika, nao ni watu! Wanaongezeka kila kukicha, na baadhi yao wapo tayari kwa lolote lile...
  2. K

    Kutoka NEC/Lumumba: John Magufuli kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    Asante! Kwa kutukumbusha hilo baadhi yetu.
  3. K

    Kashfa nyingine ya Mbowe: Kumbe Juma Duni Haji hajakabidhiwa kadi ya CHADEMA

    Kumbuka kua una vitoto halafu unatumia lugha kama hio, ndio maana hukai na mume.
  4. K

    Hussein Bashe na kundi kubwa la team Lowassa kuingia CHADEMA rasmi

    Wewe pozeo la Kanye west! Naona umejisahau au hujui ulicho andika, usitumie kigezo cha Maalim seif na mabadiliko ya kisiasa kama ulivyo maanisha,kwani yeye ndio chachu ya yote haya kwa kujiamini kwenye kipindi kigumu cha mfalme mchonga, unapo sema ccm Haija ondoka ulitaka iondoke vipi?maalim...
  5. K

    Lowassa kusimamisha Jiji kwenye uwanja wa Taifa tarehe 8 Agosti, 2015

    Ungetumia neno mtume, ingetosha lakini hivyo ulivyo malizia usije kurudia tena. Akh'sante.
  6. K

    Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

    Good job "JB"Kwa ulivyo jitahidi kiufafanuzi hakuna atakaye thani kua uliishia std 7.
  7. K

    Watanzania sasa waamuka

    Asante babu, umetoa fikra mzuri kwa wenye kuzingatia.
  8. K

    Ushoga na usagaji vina faida gani kwa nchi za Magharibi?

    Dini iPi? Zipo nyingi tufafanulie nasi tuijue, mana kuna moja wafuasi wake wengi wanapigwanao eti ndio wanajifananisha na wamagharibi na ndio wanao zidi kuitukanisha jamii ya huko uliko taja.
  9. K

    Prof Lipumba kufanya mkutano mkubwa mbugani Mwanza leo

    Changia hoja acha uchokozi.
Back
Top Bottom