Recent content by kubaliyaishe

  1. K

    Wakazi wa Mbweni Mpiji hatuna imani na Paul Makonda

    Ni aibu kwa serikali hii baadhi ya maeneo ya Dar kutokuwa na maji ya uhakika kutoka DAWASCO. Huwa najiuliza shida ni nini? Yaani vyanzo vya maji tunavyo vingi sana, huwezi kulinganisha na km kule arabuni au hata china ambao wana recycle hata maji ya chooni( yanayotumika kusafishia barabara)
  2. K

    Bandari ya Tanga yaamriwa kurejesha mita za kupimia mafuta

    Ati nini....... Halafu kaachwa? Lkn sishangai nchi ishaunizwa sana hii kwa mgongo wa kanisa n nobody takes action
  3. K

    China MBBS Scholarship 2016

    Changsha ni mji mkuu wa jimbo linaloitwa Hunan. Pale kuna vyuo vingi , vikubwa ni Central South University (CSU) na Hunan University. Hv viko recognized na TCU, ila hiko Changsha Medical University nna mashaka km kiko recognized na TCU. Pitia TCU ku confirm. Naweza shauri usiende chuo hiki...
  4. K

    Makamu wa Rais amuwakilisha Rais Addis Ababa, Ethiopia!

    Huyu mama kasoma UK, Manchester university
Back
Top Bottom