Hivi inawezekanaje mka do na mama yako mzazi kweli? Unaanzaje!,mnabadilishana mate nk. Hapa mi naona utakuwa na akili ya kuvalia nguo tu,huu ni utamaduni wa wapi?
Nakupongeza mama Anna kwa kukaa humu,itakuwa rahisi kwa sisi wanyonge kukufikia tuna mengi ya kukwambia,si rahisi kuzipata habari nyingine ukiwa ofisini,tutakufikishia ukituchunia tutajua huna dhamira ya dhati na sisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.