mmmmh! kweli hii ni JF!!!!!!! nawaheshimu wote kwa hili, kifupi mm nimgeni kidogo kwenye masuala ya ufugaji kwa maana sijapata kufuatilia mambo zaidi ya haya ya vibali, ila kiukweli napenda sn kufuga hasa Kuku na ndege wote kiujumla, ila kweli sheria zetu zipo hovyo wangetoa vbali wengi...