Huko ndo tunakuita miungu watu wenyewe wanajiona wako sahihi kufanya ivo ila kwa wengine Mwiko! Wengi wao wapo kimaneno zaid ila vitendo hakuna lolote wanaenda mbali kwa kuvaa bendera shingoni kwa kuwahadaa wajinga ila ukweli ni kuwa ndani yao hamnamo cha uzalendo!
Magambazzzzz ni noumaaaa anaeishabikia gambazzzz hakika ni yule tu asietumia akili zake kwani mafisadi wachache walishajimilikisha nchi wanajifanya et wanapokezana vijiti,,, 15 hachoki mtu walai tunasema ccm basi chadema yatosha... Watake either kwa hiar au kwa mabavu hapa kila mtu lazima...
tunashukuru kwa pongez zako za kinafiki... Ila tu tambua tu nchi hii haiwezi kukombolewa na vijana wapenda hela kama wewe huko uliko ndiko mahali panakokufaa... Umesahau pindi ukiwa cdm tulivyokuwa tunakupenda japo ulikuwa maskini bila hata sent kura, kwa ajili yako watu waliwekwa ndani...
Hichi chama kinachekesha ina maana chadema wakiwepo bungeni wenyewe huwa wanajifanya chama tawala au? Hata hivyo huyu bibi makinda naona kawatolea nje kama vile hajui ndoa iliyopo kati yao
nakubaliana na ushauri wako kwa wanachadema ila napinga na kauli yako ya bado sana kwa kuwa wananchi walio wengi kutokana na hali mbaya ya maisha wameamua ivi NI HERI UPATE MATESO KWA SASA/ NI BORA VURUGU ZA CDM KULIKO HALI MBAYA INAYOSABABISHWA NA MAFISADI
mkuu hamy D naona usiku ulikula kwenye banda la kuku kisha umeamkia humu saa 10 kwa kutoroka kuja kutema pumba!!!! Kapitie katiba na vitabu vya mwl vizur na sio hizi pumba zako
mkuu haym D naona usiku ulikula kwenye banda la kuku kisha umeamkia humu saa 10 kwa kutoroka kuja kutema pumba!!!! Kapitie katiba na vitabu vya mwl vizur na sio hizi pumba zako
Ajishughulikie kwanza kwa mauaji yaliyotokea Arusha chini yake pili amshughulikie Pinda kwa kuivunja katiba kwa kutema pumba bungeni utadhani kala kwenye banda la kuku kisha anatema pumba la sivyo na yeye pona pona yake rais akatae kuunda tume huru ya kijaji ila akiridhia tu na yy haponi,,
nikisema unatumika kinyume na maumbile yako sijui ntakuwa nakukosea maana huna uzalendo hata tone ..damu za watu zimemwagika ww unaleta ushabiki wa kishamba ww ni binadamu wa aina gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.