Recent content by Kosae1

  1. K

    Ni hatari kwa afya yako kuweka wallet kwenye mfuko wa nyuma

    Maelezo mazuri. Ila mm nimependa ulivyoomba radhi kwa heshima.
  2. K

    Utapeli kwa mitandao ya simu umezidi

    Watanzania ni watu wa ajabu sana. Mtu anatoa hoja ili solution ya kudumu ipatikane, mwingine anauliza wewe unajibu hizo message za nini? Amekuambia alijibu? Wapo wahanga ambao uwezo wao wa kuchanganua mambo sio kama wewe. Kwa nini usiache jambo la msingi likaprevail ili lifanyiwe kazi? Nchi...
  3. K

    SHAHIDI: Chusa alipanga mauaji ya Bilionea Msuya

    Uko right. Kama ambavyo nimejawa na roho ya kisasi as I write here. Hata nimemwambia room met niombee. Maana kwa nilichofanyiwa nimemhakikishia nitalipa kisasi. Na naiona akili yangu ikiwa tayari. Nasali namwomba Mungu aniondolee but for sure haitoki. Si roho ya kuua, natamani tu kulipa...
  4. K

    Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

    Mpira ni akili kama ilivyo akili ya kuwa daktari au engineer. Ukiongea watu hawakuelewi but that is the reality. Wachezaji wetu hawana akili ya darasani wala ya mpirani. Yote haya ni zao la elimu yetu mbovu. Isiyofikirisha, isiyochunguzisha, isiyoibusha vipaji na umahiri. Elimu yetu haijengi...
  5. K

    Tundu Lissu: Sijasaini nyaraka yoyote TLS toka nipigwe risasi

    Low life. Get a life man. You sound so pathetic
  6. K

    Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

    Tusimdharau aliye uliza? Si mnaona sasa mnafunguka na wengine tu napata kujifunza na kuwa inspired.
  7. K

    Wako wapi wahenga wa usafiri Kilimanjaro?

    Hahaha black nyau. Hii zamani sana hii!
  8. K

    Wako wapi wahenga wa usafiri Kilimanjaro?

    Kumbe. Sikujua aisee
  9. K

    Wako wapi wahenga wa usafiri Kilimanjaro?

    Hahaaa hii kinabo umenikumbusha mbali sana mkuu
  10. K

    Freeman Mbowe: Alichokisifia Lowassa juu ya utendaji wa Rais Magufuli sio msimamo wa CHADEMA

    Excellent speech Freeman. Huko ndio kuiva kisiasa. Kuna muda huwa na kukubali sana mkuu. Kwenye mambo mazito unajua kutulia.
Back
Top Bottom