Watanzania ni watu wa ajabu sana. Mtu anatoa hoja ili solution ya kudumu ipatikane, mwingine anauliza wewe unajibu hizo message za nini? Amekuambia alijibu? Wapo wahanga ambao uwezo wao wa kuchanganua mambo sio kama wewe. Kwa nini usiache jambo la msingi likaprevail ili lifanyiwe kazi? Nchi...
Uko right. Kama ambavyo nimejawa na roho ya kisasi as I write here. Hata nimemwambia room met niombee. Maana kwa nilichofanyiwa nimemhakikishia nitalipa kisasi. Na naiona akili yangu ikiwa tayari. Nasali namwomba Mungu aniondolee but for sure haitoki. Si roho ya kuua, natamani tu kulipa...
Mpira ni akili kama ilivyo akili ya kuwa daktari au engineer. Ukiongea watu hawakuelewi but that is the reality. Wachezaji wetu hawana akili ya darasani wala ya mpirani. Yote haya ni zao la elimu yetu mbovu. Isiyofikirisha, isiyochunguzisha, isiyoibusha vipaji na umahiri. Elimu yetu haijengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.