Mimi ninavyoona serikali isijenge uadui na wafanyabiashara kwasababu wao ndio walipa kodi wakuu tuangalie sukari tulikuwa tunanunua sh 1800 bei ya jumla Leo ni 2500 kutokana kutokaa pamoja na wafanyabiashara
Mwakyembe simlaumu kwasababu aliwai kuandika kwamba suluwisho LA muungano wetu ni serikali tatu lakini baada ya kuwa waziri kipindi cha bunge maalumu LA katiba aliyakana maneno yake na kutaka serikali mbili na hayo maneno yake ndio alifanyia udoctor kama research ya kumpa kiwango hicho cha elimu...
UDP mwenyekiti ni cheyo na katibu mkuu ni mdogo wake na inaofisi Bariadi tu Tz nzima na haina tawi nje ya Bariadi hivyo waandamaji watakuwa ni cheyo na mdogo wake plus wake zao
Ndg una kumbukumbu nzuri ya matukio lakini ungejua kwamba vyama vya siasa vipo kikatiba na katiba inarusu mikutano ya vyama vya kisiasa ila tu ungesoma katiba ili usiwe mshabiki wa mambo yasiyokuwa na tija kwa taifa
Jamani watz wenzangu tunashindwa kutofautisha mambo ambayo yako personal Na tunaingiza ushabiki Na siasa maji taka biashara ya mbowe hayana mahusiano Na chadema wala lowassa kwani mwimbaji komba alivyokuwa anadaiwa kikwete mwenyekiti WA ccm alifanya nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.