Recent content by korongoni92

  1. korongoni92

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    []color=red najarib guys asante kwa elimu
  2. korongoni92

    Kijana kuwa makini, wanawake toka katika familia hizi hawafai kwa ndoa

    My concern mwingilianonwa makabila ndio chanzo cha kuvunjika ndoa zilizo nyingi Mzalamo kuolewa na mkulya Mchaga kuoa mnyakyusa Mhehe kuoa mnyamwezi
  3. korongoni92

    Natamani kumuacha ila namhofia mwanangu

    Mtoa post naomba kunukuu machache 1umesema ana elimu duni (kidato cha 4 alizungusha) 2 mvivu kitandani 3 mama wa nyumbani 4 mgomvi Mi naona umesahau mema yake yote maana kakuvumilia kwa muda wa miaka saba toka unasoma na ulianza nae ukijua na fom 4 failure sasa kwa nin leo unamdhalilisha hv sio...
  4. korongoni92

    Aliyekuwa mpenzi wangu (x) anawapa baadhi ya rafiki zake namba zangu wanitongoze

    Hapa mimi kwa mtazamo wangu naona dada anatangaza soko yupo free kuanzia 2018 watu wapeleke maombi
  5. korongoni92

    Kero nilizokutana nazo Dar natamani kurudi mkoani

    Nimenote vitu 3 1 mgeni 2 umetembea kwa miguu umesema 3. Masaki Huyu jamaa anahitaji msaada jaman kwa anatutambia kuwa alikuwa anaenda masaki sasa ilikuwaje utembee..
  6. korongoni92

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ___________ na rangi hio [emoji168][emoji168] mtapakaga wenyewe mi niko busy
  7. korongoni92

    Alivyoleta dalili za kuniacha nikamwekea (Sanction ) vikwazo kama Marekani,sasa analia

    Kwa kauli yako tu (Nimrudie au)ni ishara bado unampenda means umekosa mamuzi cha msingi jilipue tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. korongoni92

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    Ndio abariki ili tulipe madeni mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. korongoni92

    Ushauri: Walioikamata bombadia wasiikubali malipo nusu, pia wanaoidai Tanzania waisake Dreamliner kokote iliko

    #Mungu ibariki Tanzanzani #Mungu mbariki jpm Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom