Sio kila kesi inahitaji utimamu wa binadamu, nyingine unatikiwa ujizime data ndo u solve.
Na kesi ya mshikaji wangu na mke wake walitengana kwa mda wa miaka wote washikaji zangu. Baada ya kupiga kilimanjaro zangu niliwapigia conference call sasa hivi wanarabuana huko.
Hii apps ipo playstore ni moja ya apps nzuri sana. Apps hii ni kama Insta naweza sema au tiktok ila inakupa task za kufanya na ukiweza kufanya kwa wakati wanakulipa japo kidogo. Pia ukiweza tengeneza video fupi ya sec 90 yenye content nzuri ikapendwa na watu namaanisha likes nyingi unapata pia...
Hela inabadilisha mji. Dubai ni jangwa kabisa. Libya ni jangwa sehem kubwa. Dodoma maji safi ni km 150 tu wanapata maji mji mzima hadi kulima watalima. Maji mtera yapo ya kutosha.
Habari,
kama kichwa cha habari. Msaada wa shule nzuri kwa mtoto wa kike boarding O level. Nataman sana za kikatoliki kwa anaejua. Pia na connection naomba tafadhali. Asante.
Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.
Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.
Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
Kila mtoto ana riziki yake. Pia Africa life expectancy ni ndogo sana. Miumdo mbinu mingi imekaa vibaya kupoteza mtoto na kifo ni rahisi sana.
Kama huamini panda majinjah ya dar, mbeya utaelewa nini maana kifo.
Nao ni ushauri ila naishi nitakavyo. Na roho mbaya yangu ila sijawahi kumgongea kwake. Wewe nawe unaonekana kutwa kwenye nyumba za majirani tuliza miguu ishi kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.