Hii hoja naunga mkono mia kwa mia.. Magufuli tafadhali mizigo yote ya inayoelekea Nyanda za juu Kusini kutokea bandari ya Dsm, iende kwa reli, TAZARA, na inayotoka kusini kama Zambia, Malawi, na Congo mwisho wa lorries Mbeya, then TAZARA wailete bandarini Dsm. Mbeya sasa iwe kitovu cha usafiri...