Yaani watu humu ni wajinga sana. Hivi mleta uzi unajua chakula kutoka nje ni danger sana gerezani kuliko kula na masela chakula Cha Serikali. Unajua kilichomkuta Tito Magoti? Nikupe elimu kidogo. Gereza la Ukonga kutoka kaunta unapoonjea chakula hadi chumba alipo Mbowe Kuna korido tatu. Mtu wa...
Mwandishi wa Habari mkongwe Gordon Kalulunga anadai kusakwa na Jeshi la Polisi kila Kona ya jiji la Mbeya.
Kwa maelezo yake Kalulunga anasema tarehe 6 mwezi huu saa sita mchana alipigiwa simu na Msaidizi wa OCCID wilaya ya kipolisi Mbalizi Christopher Makawia na kumwambia, "tukutane pale Benki...
Wanabodi, kwa trendi hii anayoendanayo Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la demokrasia, natabiri atashinda Tuzo ya Mo Ibrahim aliyoikosa Nzee Nkapa ikaenda kwa Chissano wa Msumbiji.
Mauaji ya Zanzibar yalimharibia sana Nkapa. Hatuyategemei kwa Hangaya. Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.