Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Dotto Biteko unajua utaondoka Wizara ya Madini, ndo uibe kiasi hicho? Hizo pesa utakufa utaziacha.
Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na polisi katika mipaka yetu. Waziri badala ya kudhibiti anakuwa mashirika wa ufisadi huu. Hivi Dotto unadhani ukiiba madini yote itakusaidia nini kwenye maisha yako? Halafu kila siku kushinda kwa waganga ili Rais asikutumbue nakwambia uchawi una mwisho.
Percent za mgodi hazikutoshi sasa tamaa imekuzidi. Rais Samia huyu bwana akiachwa ataifilisi nchi.
TAKUKURU kama mlivyoagizwa fuatilieni huo wizi wa madini ili mliepushe taifa na majangili hawa wa mwendazake
Rais Samia
KAZI IENDELEE
Pia soma: Hongera Jf kwa Whistleblow,JF Tubadilike, Tusichafue Bure Majina ya Watu Kwa Tuhuma za Hearsay Sizizo na Uthibitisho!, Ukituhumu, Weka Uthibitisho!.
Madini ya Tanzanite yanasafisishwa kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara na polisi katika mipaka yetu. Waziri badala ya kudhibiti anakuwa mashirika wa ufisadi huu. Hivi Dotto unadhani ukiiba madini yote itakusaidia nini kwenye maisha yako? Halafu kila siku kushinda kwa waganga ili Rais asikutumbue nakwambia uchawi una mwisho.
Percent za mgodi hazikutoshi sasa tamaa imekuzidi. Rais Samia huyu bwana akiachwa ataifilisi nchi.
TAKUKURU kama mlivyoagizwa fuatilieni huo wizi wa madini ili mliepushe taifa na majangili hawa wa mwendazake
Rais Samia
KAZI IENDELEE
Pia soma: Hongera Jf kwa Whistleblow,JF Tubadilike, Tusichafue Bure Majina ya Watu Kwa Tuhuma za Hearsay Sizizo na Uthibitisho!, Ukituhumu, Weka Uthibitisho!.