100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,610
- 12,039
Anatoa pesa kwani zake?Acha uwongo mama samia ndo anatoa pesa za kujenga Mwl.nyerere Hydropower na SGR Dar moro Makutupora, Mwanza Isaka na miradi inaendelea. Marehemu alianzisha miradi akaicha njiani haijakamilika.
Pesa si zetu? Hivi umesikia kinachoendelea daraja la busisi au unaongea tu kufurahisha bunge?
Watu wameanza kupiga, mama hana exposure kabisa ya hayo masuala kama JPM we jamaa, mama ana exposure na NGOs..
Kama hujui kaa kimya..
Upigaji umerudi kwa kasi mno..