Hazihusiani Mkuu na maada husika hichi chuo pekee hapa TANZANIA ndiyo ilikuwa kinatoa kozi, Bachelor in mental health sciences , ndiyo maana nilikuwa nataka kufuatilia kama bado inachukua Wanafunzi, maana kwenye guide book ya TCU haipo kabisa siku hizi
Wakuu Naomba kujua Huyu Ndugu, Anaweza saidika Vip?
Alikuwa amesafiri kwao huko kijijini, sasa Juzi amerudi Dar,sasa akaanza mchakato wa kuomba AVN number , kila akiingiza details zake anambiwa the user mwenye hizo details ameshakuwa registered, sasa akashindwa kuamini, maana haujawahi kuomba...
Jamani tuombee Mungu kwa hayo yaliyo mpata na uchunguzi huo ufanyike kwa haki na busara
She is a very good Dr
Pole sana Mama yangu Dr Ogweyo Mungu akupe moyo mkuu my beloved Mother
Jamani Leo nimeenda vodashop Bukoba mjini nilichokiona siyo huduma kwa wateja nilienda kurenew laini wanakwambia ukapige photocopy kitambulisho kwenye stationary ya voda shop iliyokaribu na hiyo voda shop daaaaah yaani wanakutoza hela mara mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.