Ndugu wana JF.
Awali ya yote nawasalimu kwa mujibu wa imani zetu!!!
Chama Cha mapinduzi CCM baada ya kuona hali yao kisiasa inazidi kuporomoka na hasa baada ya kuona mwamko wa vijana katika uchaguzi wa serikali za mitaa, wameamua kuja na mbinu mbadala kuwadanganya vijana waliopo mitaani ili...
Mbona kama Hueleweki? Inaonekana siasa inakutesa sana. Mimi niko Karatu before KAVIWASU na shida ya maji haijaanza leo. Ilikuwepo tokea hata kabla mji haujafikia hapo ulipo. tena kipindi hicho watu tulikuwa tunachota maji kule Shangrilla, Kambi Ya nyoka na Kambi ya Fisi. Sasa wewe ni chuki zako...
Mabata wadogo wadogo wanaogelea, wanaogeleaaaaaaa!!,, katika shamba zuri la bustaniii..... Wanalia .......................... Jana nilikuwa naangalia isidingo nikaona wanapromote ushoga na kuanzia sasa siitaki hata kuisikia
Kijana Utaifakwanza nadhani umemsikia kijana wenu Makonda. Umeamini sasa kuwa CCM hakuna mtu wa maana Kuanzia vijana mpaka wazee? Kazi ni kwako utaifakwanza. nakutakia Ijumaa njema na usisahau kwenda kuliswalia taifa letu teule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.