Ulez unalimwa Kwa style 2
Upandikizaji
Umwagaji tu sambani
1: Upandikizaji
Ulezi unaota vzur na kustaw kwenye shamba jipya Kwa kule kwetu tunaotesha ulez kwenye majivu ambayo Miti iliungua pindi shamba linaandaliwa
Ukishaotesha hapo baada ya muda unang'oa na kwenda kupandikiza ktk matuta...
Oh sorry nimechelewa kujibu
Dawa za wadudu wa mimea(insect side)
Unaweza kutumia Duduba 450 Ec
Au karate
Hapo utaua wadudu wote
Muda mwingine ukiitaji ushauri kuhusu kilimo nitafute pm nikupe ushauri maana ni Mtaalamu wa kilimo
Mkuu habari
Nitakujibu nikiwa kama extension officer
Ili ulime unahitaj kujua mambo mengi na sio kubashiri
Mazao hukubali sehem kutokana na hali ya hewa,udongo,n.k sasa unapozungumzia Kwa haraka haraka kwamba Zanzibar na lindi au mtwara zinafanana umeangalia vigezo gani?
Je umepima sample za...
Asante sana Nina bata 27 hadi sasa lkn vifaranga zaidi ya 60 vimekufa nazan sikuzingatia chanjo ngoja nianze kufatilia chanjo zao ili nipate matokeo bora zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.