Kitu gani kipya Lisu kaongea zaidi alichoobgea kabla ya kujeruhiwa? Je kujeruhiwa ni mojawapo ya sifa za kuitwa kwenye kipindi hicho au ni kigezo gani?. Je kabla ya kujeruhiwa aliitwa mara ngapi kwenye hardtalk?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa namshangaa sana zitto kwa kuendelea kujipendekeza kwa mbowe na lissu wakati alifukuzwa chadema Kama mbwa kisa kuandika waraka wa mabadiliko ambao ulipewa jina la uhaini ndani ya chama!
Wakati zitto na wanzeke wakiwa hawaridhishwi na mwenendo wa mwenyekiti wao, mbowe na genge lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.