Recent content by Kongwamaji

  1. K

    Malisa: Kuhusu Hardtalk sikutaka kusema lolote kwa sababu alichokifanya Lissu hakuna mwanaCCM yeyote anayeweza kufanya

    Kitu gani kipya Lisu kaongea zaidi alichoobgea kabla ya kujeruhiwa? Je kujeruhiwa ni mojawapo ya sifa za kuitwa kwenye kipindi hicho au ni kigezo gani?. Je kabla ya kujeruhiwa aliitwa mara ngapi kwenye hardtalk?. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Zitto: Rais hataki CAG amchunguze lengo ni kumuondoa amweke anayemtaka ili atapanye fedha atakavyo. Katibu wa Hazina ni ndugu yake...

    Well said. Zitto alikuwa mwenyekiti wa PAC bado madudu yalikuwa mengi hasaa ya marafiki zake
  3. K

    Wakati umefika kuigawa CRDB Bank

    Kimei mdo tatizo kwa benki hiyo. Aliifanya kuwa benki yake na wapambe wake... .
  4. K

    Morogoro: Rais Magufuli azindua daraja la Kilombero. Waziri Mbarawa asema litaitwa daraja la Magufuli

    Kuzindua na kufungua ni vitu viwili tofauti....tafuta kamusi ujisomee kabla ya kukurupuka
  5. K

    Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

    Ni kweli kabisa, ni vizuri amuanzishie dawa sasa hivi na akifuata masharti miaka 10 na Zaidi ataishi
  6. K

    USISAHAU: TZS 1.5trilioni hazina maelezo. TRA wamedanganya trilioni 2.2 makusanyo mwaka 2016/17

    Hakika tumshukuru mungu laiti kizazi hiki kingekuwepo wakati ule wa kupata uhuru hakika tusingepata uhuru hadi leo
  7. K

    Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

    Siyo kweli, fanya utafiti zaidi
  8. K

    Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

    Makubwaa, tumefika hatua hii??
  9. K

    Hivi CHADEMA kuna Demokrasia kweli? kama hakuna hata Mabadiliko ya Mwenyekiti!!!

    Huwa namshangaa sana zitto kwa kuendelea kujipendekeza kwa mbowe na lissu wakati alifukuzwa chadema Kama mbwa kisa kuandika waraka wa mabadiliko ambao ulipewa jina la uhaini ndani ya chama! Wakati zitto na wanzeke wakiwa hawaridhishwi na mwenendo wa mwenyekiti wao, mbowe na genge lake...
  10. K

    Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!

    Angalia graph toka 2015 hadi sasa halafu utajijibu mwenyewe
  11. K

    Tujivunie na kutambia matokeo ya timu ya Tanzania chini ya Prof. Palamagamba J.A.M. Kabudi

    Shame on you, inawezekana wewe ni mnyamurenge
Back
Top Bottom