Habari zenu wadau,nimebahatika nimetembelea wilaya ya Igunga katika kijiji cha mwanzugi sehemu wanapolima mpunga nimekutana na manyanyaso makubwa kwa wakulima wa zao La mpunga kwa kile kinachoitwa ushuru wa mazao,nimejionea kwa macho yangu wakulima wanafuatwa shamabani na watoza ushuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.