Recent content by Kondoo jeuri

  1. Kondoo jeuri

    DC Igunga, John Mwaipopo na Mkurugenzi wako Revocatus Kuuli liangalieni suala la ushuru mnawanyanyasa wakulima wa Mwanzugi

    Habari zenu wadau,nimebahatika nimetembelea wilaya ya Igunga katika kijiji cha mwanzugi sehemu wanapolima mpunga nimekutana na manyanyaso makubwa kwa wakulima wa zao La mpunga kwa kile kinachoitwa ushuru wa mazao,nimejionea kwa macho yangu wakulima wanafuatwa shamabani na watoza ushuru...
  2. Kondoo jeuri

    Mwaka 2018 unaisha, wale tuliopoteza wapendwa wetu tufarijiane hapa, mimi nimempoteza mama.

    Pole pia Mimi mwenyewe nimempoteza mama angu mwanzoni kabisa kwa mwaka huu yaani mwezi wa pili
  3. Kondoo jeuri

    Wakurugenzi wote wa Usalama nchini wawekwa kitimoto na Kamati ya Bunge huku wananchi wakifuatilia!

    Watu mnaona kama kiini macho kumbe ni ukweli,mtaishia kukataa ukweli
  4. Kondoo jeuri

    Jeshi la Polisi na TCRA walipaswa kumuhoji Zitto Kabwe. Anamaanisha nini kwa kusema "The United Republic of Gangsters". Kuna Jamhuri anaikejeli

    Usiruhusu akili ndogo itawale akili kubwa, hivi ulivyofanya analysis mapendekezo yako yakaishia hapo? Itabidi tukuchunguze mwenyewe
  5. Kondoo jeuri

    Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

    Mengine siyo majina,umeamua kutania tuu
  6. Kondoo jeuri

    Historia ya Kabila la Wahaya

    Wahaya ndio tabia zao kujisifia,kila muhaya anajisifia baba ake na mama ake wanafanya kazi TRA BANK,au weight bridge
  7. Kondoo jeuri

    Mbunge Elibariki Kingu atuhumiwa kula pesa ya wanaIgunga

    Elibariki Kingu Jibu tuhuma.
  8. Kondoo jeuri

    Aljazeera yachambua maandamano ya Mange, yaishangaa Serikali

    Unaelewa nini maana ya ANALYSIS
Back
Top Bottom