Recent content by kona nne

  1. K

    CHADEMA: Rais Magufuli mfuate Lowassa akushauri juu ya tatizo la sukari

    Mnabisha nini wakati hakuna sukari.waandishi wanapoandika amuulize Lowasa ni kumchochea rais awe na aibu kuwa kumbe hili swala la sukari lipo. Tatizo wengine mmezaliwa na pesa kibao ndo mana mnanunua sukari kwa bei yeyote. ukweli kwa sisi wa hali ya chini hatuwezi kununua sukari. upinzani...
  2. K

    Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

    ngoma inogile hiyo. natamani sana uchaguzi ungelikuwa wiki ijayo wa 2020.mi najua yanga anacheza vizuri sana lakini natamani timu yangu nayo ichukue ubingwa.huenda tukafima fainali na ikawa faida na shangwe kwa mtanzania.ukawa oyee
  3. K

    Rais Magufuli, wananchi wa Misungwi 'watakulilia' kwa miaka mitano

    jaribu kuongea na wanamisungwi uone wameshangiria au wamehuzunika.mimi nipo misungwi naogopa kuongea sheria ya mtandao.sina wa kunidhamini.lakini haya ndo yalikuwa maeneo ya ccm damu.huenda upinzani wakawa na faida.
  4. K

    Arusha: Mwanafunzi mbaroni kwa kuwatukana Rais wa Zanzibar, Mkuu wa Majeshi

    ningekuwa mimi huyo mwanafunzi ningemuita kituoni na kumkanya na kumuonya ya kuwa kitu alichoandika siyo sawa katika jamii.lakini kama kila mtu akikosea tu mahakamani siyo vizuri.hata wabunge wakikosea huwa wanatengua kauri
  5. K

    Sinema sakata la LUGUMI: Mashine za utambuzi wa alama za vidole zaanza kufungwa kimya kimya

    sema tu watu wengi hawajihusishi na usomaji wa taarifa hizi haswa wa vijijini serikali ya kijani ingekuwa chali sana haswa wakati huu.kama upinzani umeweza kuibua haya na je wakipewa serikali.hakika sukari itakuwa sh elfu moja kilo.sure! mashine za lugumi zinafungwa hayo ndo majipu ya mana acha...
  6. K

    Arusha: Mwanafunzi mbaroni kwa kuwatukana Rais wa Zanzibar, Mkuu wa Majeshi

    mi hata naogopa nani ataniwekea dhamana.ctaongea chechote kuhusiana na rais mana unaweza fikiria kuwa unatania kumbe siyo kwa wakuu wa nchi.lakini ushauri wangu wawe wanaitwa na kuwaonya sa kweli kosa moja mahakamani.hata ndoa za watu zingekuwa hivi miji mingi ingevunjika.mi nadhani vitu vingine...
  7. K

    Rais John Magufuli akiwasikiliza hawa watampotezea muda, sisi wametupotezea miaka 8

    pointi yenu ni lowasa tu mmekosa kingine cha kuongea mimi nilikuwa nadhani unatuarifu kuhusiana na kupatikana kwa sukari.kumbe unamwongelea lowasa ambaye ameokoka na kutoka gizani na kwa taarifa yako utateketea siku za mwisho toroka uje.mwenzio kaokoka bado unaongelea ya nyuma.lowasa wa sasa ni...
  8. K

    Mbunge wa CCM Viti Maalumu ataka kulia akipinga Bunge kuonyeshwa "Live"

    eti nendeni majimboni ina mana yeye haoni kuwa huu ni mda wa bungeni na ukiisha c wataenda kwa wananchi.na cc tunasema bunge lionyeshwe mda huu wa vikao vya bunge ambao wabunge wote wapo huko ni vikao vikiisha watarudi ndiyo.na hakuna anayelilia lionyeshwe mwaka mzima. hajitambui analeta mambo...
  9. K

    Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza uwanja ndege wa JNIA, Dar. Akuta mashine mbovu...

    ashitukize na kwetu tabora tunakula viazi bila chai. tunaomba sukari ya bure.
  10. K

    Rais Magufuli awavutia Waganda

    sawa alishangiliwa kipi kimeongezeka kwenye maisha yetu?
  11. K

    Utajiri wa Dr. Dau unashtua

    mimi sina hata milioni tano
  12. K

    DC Hapi na kamati ya ulinzi na usalama wabaini magodauni na madanguro bubu Manzese

    awamu ya tano tutasikia mengi.mkiyumba tu ukawa watakuja na yao.ndo mana mapya hayaishi.
  13. K

    Makosa ya Kimtandao: Mtoto wa Chacha Wangwe afikishwa Mahakamani Kisutu

    mimi nina mazuri ya kuongea but naogopa kukamatwa nani ataniwekea dhamana? pole sana bob kuna wachochezi toka march mpaka may ndo kesi
Back
Top Bottom