Rais Magufuli awavutia Waganda

Rais Magufuli awavutia Waganda

Wenye wivu wajinyonge, majipu mtalialia sana mwaka huu!
Acheni kutafuta kete ya rais kwa kuandika habari za kikanjanja wakati kuna habari za maana kibao hamziandiki mnaleta uongo wa kipuuzi tu.
 
K
Uliangalia wapi wewe!!?
Wacha unafiki
Inaonekana wewe TV unayoijua ni TBC basi! Au labda ung'eng'e kwako ni not reachable hukuangalia UBC, NTV, QTV na KTN; zote zilirusha tukio live. Toka kifungoni kwa kudhani taarifa inapatikana kupitia TBC au startv
 
Mnambeza sana rais Magufuli ndio maana mnaitwa mababy pale bungeni
bwege ndio jina sahihi kwako, kila mmoja na mtazamo wake anapokosea, lazima akosolewe. kwani yeye Mungu mpaka sinye kosa?
 
Habari kubwa ni kuwa M7 kuapishwa
Kwani waganda walihitaji vivutio? Cha dharau, Magufuli kuwa kivutio kwani ni mchekeshaji?
 
Ushawahi kwenda hospitali kumuona daktari akakuandikia cheti kwa Kiswahili, Wachina wao huandika kwa Kichina. Ushawahi kuona degree kwetu inasomeshwa kwa Kiswahili? China zinatolewa kwa Kichina. Ushawahi kununuwa kifaa cha umeme kipya kama jokofu au runinga na ukapata maelezo yake ya matumizi kwa Kiswahili? China zinaandikwa kwa Kichina. Ushawahi kumuona Raisi wa China angalau akijaribu kutumia hata neno moja la Kiengerza katika mawasiliano yake? Jawabu hapana. Hata katiba ya JMT imeandikwa kwa Kiengereza! Nafikiri ushafahamu kwa nini Kiengereza ni muhimu kwetu sisi mpaka sasa hivi.

Ni upuuzi wa watu wenye akili kama zako,
 
[QUmwenyeweack sniper, post: 16178224, member: 187955"]Mabalozi wa US, European na Canada walisusia na kuondoka baada ya Museveni kuongelea suala la ICC

Sijui walijisikiaje [/QUOTE]
US mwenyewe siyo mtiifu wa mahakama hiyo! Waache kutubabaisha. Bush na Blair walifanya dhambi huko Iraq, hakuna jaji yeyote wa mahakama hiyo aliyejaribu kuwafungulia kesi. Siku zote nasema Tujitegemee. Matatizo yetu tuyatatue wenyewe likiwemo na hili
 
Baada ya chama changu kupoteza agenda ya ufisadi nimepata tumaini jipya kwa Magufuli.
 
Ushawahi kwenda hospitali kumuona daktari akakuandikia cheti kwa Kiswahili, Wachina wao huandika kwa Kichina. Ushawahi kuona degree kwetu inasomeshwa kwa Kiswahili? China zinatolewa kwa Kichina. Ushawahi kununuwa kifaa cha umeme kipya kama jokofu au runinga na ukapata maelezo yake ya matumizi kwa Kiswahili? China zinaandikwa kwa Kichina. Ushawahi kumuona Raisi wa China angalau akijaribu kutumia hata neno moja la Kiengerza katika mawasiliano yake? Jawabu hapana. Hata katiba ya JMT imeandikwa kwa Kiengereza! Nafikiri ushafahamu kwa nini Kiengereza ni muhimu kwetu sisi mpaka sasa hivi.
Mkuu wewe una elimu gani ? Samahani kwa swali hilo lakini japokuwa nahitaji jibu.
 
Hakuna kitu kama hicho, mimi niliangalia hilo tukio wakati akitambulishwa tena alimtambulisha kwa kilugha na watu hawakujali sana wala sikuona wala kusikia hizo shangwe. Aliyeshangiliwa ni Mugabe tu! Acheni kuandika habari zisizo na maana kama hizo ili mradi eti msikike mmeandika habari kuhusu Magufuli

Boy nipo uganda na Magufuli anapendwa sana kuliko unavyoweza dhan na alishanhiliwa saaaan
 
Ushawahi kwenda hospitali kumuona daktari akakuandikia cheti kwa Kiswahili, Wachina wao huandika kwa Kichina. Ushawahi kuona degree kwetu inasomeshwa kwa Kiswahili? China zinatolewa kwa Kichina. Ushawahi kununuwa kifaa cha umeme kipya kama jokofu au runinga na ukapata maelezo yake ya matumizi kwa Kiswahili? China zinaandikwa kwa Kichina. Ushawahi kumuona Raisi wa China angalau akijaribu kutumia hata neno moja la Kiengerza katika mawasiliano yake? Jawabu hapana. Hata katiba ya JMT imeandikwa kwa Kiengereza! Nafikiri ushafahamu kwa nini Kiengereza ni muhimu kwetu sisi mpaka sasa hivi.


hivi kuna watu wanaamini kweli kabisa Rais hajui kingereza!! Hahahaha!! endeleeni kuamini hivo.

kwa akili ya kawaida tu masters thesis yake aliandika kwa lugha gani ?! phd defense alifanya kwa lugha gani ?

au kutokujua kingereza ndio mtaji wa wapinzani baada ya mafisadi kuhamia upande wao..
 
Back
Top Bottom