Recent content by Kommando muuza madafu

  1. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania TUJIKUMBUSHE: Timu Maarufu za Ndondo kutoka mitaa yetu

    Ndondo hoyeeee
  2. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Je hii ni kweli: Baada ya kutoka Urusi kaenda Oman Ujombani?

    Taarifa za kufuatilia mienendo ya ndege imeonesha Mheshimiwa Rais kaende Oman baada ya kutoka Russia. Je kwanini kaenda huko bila kutoa taarifa? Je ndege ikipata hitilafu na ikatokea ajali huko, watatuambia nini sisi tuliomchagua?
  3. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Je, vipi kama Rais Samia naye akazuiliwa kuingia baadhi ya nchi itakuwaje?

    Maskini bwana. Hakuna maskini mwenye haki hapa duniani. Kama hakuna shida kupigwa ban, kwanini mnaombeleza na kujieleza kwingi huko USA hadi kuchukua na kulipa makampuni ya kuwasafisha huko USA?
  4. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hiki kizazi cha Gen Z wana Iq ndogo?

    Ni kweli. Ukitaka kujua ni matabulalasa angalia comments zao humu ambao kimsingi ina reflect uwezo wao wa kufikiria na kupambanua mambo.
  5. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kujenga nyumba ya vyuma kwa kipato Cha 800k?!!

    Aiseeeee, mambo ya chawa wa mama hayo.
  6. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ya mpenzi wako kuwa Bize usiku mnaitafsiri vipi wakuu?

    Aiseeeee
  7. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wacha weeee. Muirani wa Mbagala Matembele ya Pili katika moja na mbili huyo.
  8. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwani si tulishakubaliana humu sisi waajemi wa Nangurukuru kuwa alishakufa na huyu ni wa AI? 😂😂😂
  9. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Ambao mmetoka kwenye Familia zenye Upendo, Mshukuru Mungu

    Usisumbuke na wanadamu hawa wenye ngozi nyeusi na wenye Roho za Kimaskini. Waulize Adebayo na Pogba watakubaliana ndugunzetu ngozi nyeusi wapoje. Hutaweza waridhisha, wao ni lawama. Principles zangu ni kuamka asubuhi, kumshukuru Mungu kwa afya njema na uhai, kwenda kupambana kwa ajili ya...
  10. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watanzania wengi wanapenda kuombea ama kusali kwa kitu wanachoweza kukifanyia kazi?

    Mmeamua kuwa OP na dini so kila kitu kibaya sasa mnakihusianisha na dini. Sidhani kama kuna mtu mjinga ndani ya Kanisa ambaye hatambui kuwa Biblia inasisitiza kuhusu kufanya kazi. Hayupo kama yupo atakuwa na shida ya akili binafsi ambayo haihusiani na dini ila ni mtu binafsi.
  11. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya mnakubaliana nae au anatania tu?

    Kwa ajili ya nini hasa? Piga tako zako tatu mwaga. Tunza afya yako na Nenda kapambane kwa ajili ya kesho yako iliyo bora. Achaneni na huo upumbavu.
  12. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Napitia kipindi kigumu nilivamiwa na vibaka na kunipora pesa zangu za mtaji, napitia kipindi kigumu sana wakuu msaada

    Hahahaaa kijana mwenyewe huyu ni tapeli. Ngoja atapeliwe hiko inbox.
  13. Kommando muuza madafu

    JamiiForums Tanzania Gaidi huyu aliomba kifo Israel wakamtimizia haja yake!!

    In Magufuli Voice Alawakubar na salamaleko 😂😂😂
Back
Top Bottom