Taarifa za kufuatilia mienendo ya ndege imeonesha Mheshimiwa Rais kaende Oman baada ya kutoka Russia.
Je kwanini kaenda huko bila kutoa taarifa? Je ndege ikipata hitilafu na ikatokea ajali huko, watatuambia nini sisi tuliomchagua?
Maskini bwana. Hakuna maskini mwenye haki hapa duniani. Kama hakuna shida kupigwa ban, kwanini mnaombeleza na kujieleza kwingi huko USA hadi kuchukua na kulipa makampuni ya kuwasafisha huko USA?
Usisumbuke na wanadamu hawa wenye ngozi nyeusi na wenye Roho za Kimaskini. Waulize Adebayo na Pogba watakubaliana ndugunzetu ngozi nyeusi wapoje.
Hutaweza waridhisha, wao ni lawama. Principles zangu ni kuamka asubuhi, kumshukuru Mungu kwa afya njema na uhai, kwenda kupambana kwa ajili ya...
Mmeamua kuwa OP na dini so kila kitu kibaya sasa mnakihusianisha na dini.
Sidhani kama kuna mtu mjinga ndani ya Kanisa ambaye hatambui kuwa Biblia inasisitiza kuhusu kufanya kazi. Hayupo kama yupo atakuwa na shida ya akili binafsi ambayo haihusiani na dini ila ni mtu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.