nouuuuma umenikumbusha enzi hizooo, nilikuwa hapo enzi za Mwaipopo, Kisusange amenikuta nikiwa 4m3, nafikiri umesoma iyunga ikiwa ya walokole Huyo ndo aliibadilisha iyunga. zile one za point 7 hatuzioni Tena.
pole sana ndg yangu imeniuma sana kufahamu kuwa kumbe kuna mwenzangu aliyekosa ajira toka JUCO, nami nimemaliza hapo mkuu, usikate tamaa, nakushauri endelea kufuatilia hapo wizarani mambo kama hayo yanatokea na yanaweza kurekebishika. nakuombea ufanikiwe mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.