Umeongea kweli mkuu maisha ni kuamua ni swala linalo wezekana hata mwanamke hawezi kuridhika na mwanaume mmoja ila anaamua kujitunza na kukulindia heshima
Kwani hizi ndoa zinazo vunjika kila siku ni za wanawake walio soma au wake za watu wanao chepuka ni ambao wamesoma tusikariri tena bora hata alie soma anakua anajielewa
Niwasalim wanajamvi
Mkasa uliotokea: Mdogo wangu kuna dada ambaye ameshamtolea barua na mahari ilikua imeshapangwa tarehe 20 ya mwezi wa kwanza ilikua tupeleke mahari ili tarehe ya ndoa ipangwe.
Huyu shemeji yetu tayari alikua ameshazaa na kijana mwingine. Kipindi cha sikukuu ya Christmas...
Habari za mihangaiko wana jamvi niende kwenye mada. Nilipata mchumba ambae kabila lake ni mndengereko mwenyeji wa mkoa wa pwani nilikua nimesha mtorea barua na umesha jibiwa.
Kulingana na mila na desturi za watu wa pwani kipindi barua imejibiwa ilibidi niongee na mchumba wangu kuhusiana na mila...
Asa Kwa ndoa za watu wa pwani kila wiki umnunulie dela na pesa za kutunza vuta picha gharama za kumtunza inakuaje ndo napata picha ndomana wanaongoza kuachana wengi wanashindwa kuwamudu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we ingia tu kwenye maisha ya ndoa mbona wengine tupo ndoani na tunapambana na changamoto sote kabla tuliogopa tukaamua kuyavulia maji na tukayaoga na maisha yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huwa naamka naanza kupiga kelele na hiyo hali inajirudia Sana miaka zaidi ya 10 na huwa sikumbuki bali naambiwa na watu nao lala nao tatizo inaweza kua nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa tarifa yako fuatiria makabila yote yenye mila za kufunda ndo wanaongoza kwa Kuachana fuatiria ndoa za ukanda wa pwani ambako Mila za kufunda zimekita mizizi ndo wanaongoza kuachana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.