Recent content by komanyahenry

  1. komanyahenry

    Kamanda Mulilo: Ushirikina, Kudaiana ni miongoni mwa sababu za watu kupotea

    Kama washajua sababu ni ushirikina na madeni, mauaji na utekaji ni jinai, je jeshi la polisi lishakamata na kufikisha mahakamani watu wangapi?
  2. komanyahenry

    Kama Kada Mwandamizi na Mwanadiplomasia nguli anaweza kumkosoa boss wake hadharani hivi, basi Rais amezungukwa na genge hatari sana la kisiasa

    RC imekuwa ikitoa waraka hata kipindi cha magufuri, msipende kuficha uovu juu ya kichaka cha dini na jinsia. Unataka kusema haya yanayogendeka sasa ni sahihi?
  3. komanyahenry

    TANZIA Kamanda wa polisi wa zamani Kilimanjaro, Dr. Mohammed Chico afariki dunia

    Itakuwa ana undugu na huyu OIC wa Chanika aliyefariki kwa ajalai
  4. komanyahenry

    TANZIA Kamanda wa polisi wa zamani Kilimanjaro, Dr. Mohammed Chico afariki dunia

    Itakuwa ana undugu na huyu OIC wa Chanika aliyefariki kwa ajalai
  5. komanyahenry

    Umewahi kukesha bila kufumba hata jicho usiku kucha mpaka unaliona jua tena!

    Nakumbuka ndugu yangu alipata ajari mkoa fulani ambao ni jirani na ninapoishi, ikidibi niende kufuata mwili wa jamaa pamoja na majeruhi mwingine. Tukatimba kwenye Noah mie mbele na dereva. Tumeanza safari saa 3 usiku tunaingia kijijini saa 7 mchana hiyo hakuna kulala maana alfajiri ilibidi...
  6. komanyahenry

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Kupeana kazi za ufundi kwa kujuana kulinidharimu, ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza nilinunua kiwanja cha sq 400, nikampa kazi mshkaji wangu ya kuchora ramani tukaenda site kuchukua vipimo pamoja na kuangalia geographia ya eneo, nilipata ramani ndani ya muda tena nzuri sana. Ishu ikaja kwenye...
  7. komanyahenry

    Suala la kuomba unyumba na kunyimwa linaumiza sana

    Leo nimetoka kunyimwa na e wangu, masaa mawili naomba tuu papuchi. Ila nilifanikiwa baada ya kupata nafasi ya kushika [emoji480]
  8. komanyahenry

    Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

    Hivi balozi mstaafu anakuwa anapata privilege gani?
  9. komanyahenry

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nilimkosakosa ex girlfriend wa cousin wangu, siku ananiambia ana hamu ya massage na mie nipo mkoa aliopo na nipo hotel ya jirani na kwake. Nilim guarantee sintomfanya kitu ila najua asingeweza vumilia angelika tuu. Mungu saidia alighairi kuja mwishoni.
  10. komanyahenry

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara yangu ya mwisho nimekula demu hata jina simjui. Picha inaanza nimeingia mkoa fulani kulikuwa na event ya kijamii so watu kutoka mikoa mbalimbali walikuwepo. Uzuri nilikuwa na demu katika mkoa huo na kesho yake asubuhi alikuwa na safari ya kikazi ivyo akaniachia gari lake ili niweze...
  11. komanyahenry

    Tafakari juu ya nchi yetu Tanzania

    Kwa mujibu wa Sheria namba 15 ya Bendera na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971 imetoa maelezo ya namna bendela ya taifa inatakiwa kuwa pamoja na matumizi yake. Mpangilio wake ni kama ifuatavyo Bendera itakuwa imegawanywa kwa pande 2 kutoka juu kushoto kwenda chini kulia nafasi ya juu itakuwa kijani na...
  12. komanyahenry

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Kwanza kabisa ningependa ku share na wanajamii forum wenzangu juu ya swali nililoshindwa kulijibu kutoka kwa kijana wangu, baada ya kijifikiria sana nikaona nina deni la kujibu swali lake. Last week tukiwa tunaangalia hafla ya upokeaji wa ndege ya shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania...
  13. komanyahenry

    Niulize swali lolote kuhusu Mlima Kilimanjaro

    Binafsi nilipanda kipindi Desemba, 2020 kipindi hicho COVID ipo nililipa kama laki 8 kwa kampuni ya jamaa mmoja anaitwa Ngowi kama sijamkosea, gharama hiyo alinikodisha pamoja na gears, pamoja na gharama zote za kupanda hadi kushuka. Na ilikuwa cheap maana nilikuwa na mwenyeji anaye deal na...
  14. komanyahenry

    Niulize swali lolote kuhusu Mlima Kilimanjaro

    Binafsi nishawai kupanda kupitia njia ya Marangu, vyoo vipo kwenye vituo vya kupumzika eg Mandara, Horombo, Kibo hut, Kama sijakosea na Last water point hakuna hut za kulala ila ni sehemu ya kupumzika na kula chakula wakati wa safari ndio kuna vyoo. Ila sehemu nyingine ukishaanza safari hakuna...
Back
Top Bottom