Najua wengi munaangalia muandiko mtililiko hiyo changamoto niliyo niyo, ndomaa nikasomea kazin isiyo taka mwandiko. hivyo ningumu kunibadiliaha ukielewa sawa usipo elewa tafutamutu akueleweshe maana wapo walio elewa zaidi yako.
Shida yangu siyo kuomba ushauri isipokua najaribu kubadilishana stori kwenye hilijukwaa. Wala simulahumu mama wa mtt ,maana mwisho siku nivitu tumepitia kwenye maisha, na maisha yameendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.