Recent content by KOKUTONA

  1. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Here I am!
  2. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Watoto wangu ni raia wa Marekani kwa kuzaliwa kwao

    Awa naturalize na wakane uraia wa marekani wawe wa tz
  3. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Angalizo; (picha ndani zinatisha) maajabu ya mazishi ya Tibet, Mongolia, China

    [emoji25][emoji25][emoji25]
  4. KOKUTONA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

    Inategemea umri wa watoto pia. Km bado wadogo why uwanyime mother love kwa ugomvi wenu wazazi? Au kwa kukwepa majukumu yako? Na hata km wanajitambua still bado wana uhuru wa ku decide waishi na nani.
  5. KOKUTONA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. KOKUTONA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

    Heeee[emoji3]
  7. KOKUTONA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

    Unaendelea tu kutoa huduma. Si ni watoto wako? Pale hufanyi hisani unatimiza majukumu yako Kichaa chake usikipatilize
  8. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

    Unamaanisha Injinia Hersi?
  9. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Huko si ndo tabia yao kabisa. Unaambiwa ni rahisi sana kumkuta wadada bikra lakini marinda siku nyiiiingu. Vijana ndo usiseme Unajua haya mambo hufanywa sirini ndo maana tuna ujasiri wa kukemea sbb hakuna anayeweza kusoma siri zetu. Lakini ushoga na ufirauni unafanywa na watu wote wa dini...
  10. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi

    Kwenye maisha ya kawaida Wasabato na waislamu hawafanyi huu ufiraunii?
  11. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Tunatumikia ibada tusizozijua na bila kufahamu

    mie pia nimefurahi kukuona. umrii.......tumewaachia vijana
  12. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Akuuu........:D:D:D:D:D
  13. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Mtu anatoa pesa ATM anaanza kuzihesabu palepale

    Nacheka kama mazuri. Labda anakuwa anazitenganisha mafungu mafungu kulingana na matumizi akitoka hapo kwenye kijumba cha ATM:D:D:D:D
  14. KOKUTONA

    JamiiForums Tanzania Tunatumikia ibada tusizozijua na bila kufahamu

    wacha kabisa. Majukumuuu
Back
Top Bottom