Recent content by Kokubanza-G

  1. K

    Mrejesho namba 1: Huyu ndio mwanaume ninaemtaka sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    Duu Dada wenzio tulitafutwa tukaolewa tukaekwa ndan ,wee unatafuta????tulia mama mwanaume anakuja mwenyewe kma Na we umetulizana Na wala haina haja ya kumdescribe MTU hadharani
  2. K

    Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti angependa aolewe naye

    Hahaha hatariiii labda umuumbe wewe
  3. K

    Nahitaji fridge ndogo kwa 200,000/=

    Ongeza 50 nenda Kkoo unapata mpya
  4. K

    Asome course IPI kati ya izi yenye soko?

    Habari wakuu.Nina mdogo wangu baada ya kukosa nacte kutokana na competition nlimuombea vyuo viwili Maji na st Francis ifakara.kapata water supply and sanitation engineering na kingine kapata medical laboratory sciences.nsaidien kuchagua course IPI nzuri
  5. K

    Amekosa chuo diploma ya ualimu na afya

    Matokeo yake mabaya atumie cha fom 4 aombe certificate
  6. K

    NACTE rekebisheni mfumo wenu wanafunzi tuweze kuomba vyuo

    Mi nimeamua kumuombea dogo st Francis ifakara certifi ya lab tech na Chuo cha Maji nmemaliza akipata ukooo aende tuu Ila nacte saluti
  7. K

    NACTE rekebisheni mfumo wenu wanafunzi tuweze kuomba vyuo

    At a mi nmemchagulia dogo vinne ingawa sidhan kama atapata khaaa.nliapply juz alhamis na ndo SKU mfumo walifungua unakuta chuo kinaitaji watu 30 lakin washaomba watu 600 ad mda huo hatari sana
  8. K

    Kwa matokeo haya naweza kupata chuo cha nursing hata cha private?

    Unapata apply private utapata,au vyuo cha serikali lkn course zngine za science ukiacha afya
  9. K

    Mliokwisha omba NACTE msiombe upya mtaliwa

    Hutakiwi kulipia tena mkuu,unatumia ileile ya mwanzo polee
  10. K

    NACTE wamefungua System kwa walikosa nafasi apply Sasa!

    Hapana Jana nlivoenda nliwauliza wakasema watafungua itakua unaeza ingia ktk profile yako na kubadili machaguo kwa pesa ileile hakuna kulipia ingine
  11. K

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Kibaha na muhimbili mwsho one ya 10 NAaa ivi kwa maelezo yao jana nlienda uko kuuliza nkachokaaa
Back
Top Bottom