Tatizo wabongo tunadhani ugali ndio chakula kikuu dunia jizima
Athari za kukalili na kudhani ukipendacho wewe kila mtu anakopenda
Lack of exposure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashauri wanapoenda kutafuta kazi wasivae vimini na kuacha maziwa wazi
Mtawalaumu wanaume sana
Jueni kwamva ibilisi yuko kazini kila wakati
Amini usiamini, si kila mwanamkwe anashawishika kirahisi
Wanaume wengi wanatumia uddhaifu wa wanawake
Kama uko smart kichwani na mwonekana hakuna...
Sasa hadi akutangazie wakati wewe mwenyewe unaona kwamba ni salama au si salama
Sehemu salama pekee ni mbinguni
Nani kakwambia Tanzania ni salama kwa raha zipi hadi iwe salama
HAKUNA MBU
HAKUNA MAGONJWA
HAKUNA NJAA
HAKUNA VIFO
AU HAKUNA MAUMIVU
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za binadamu bwana
Wanahaha kuokoa maisha ya mgonjwa au na dereva?wabongo bwana
Matatizo yale yale ya ushabikibwa yanga na simba
Wanapojitoa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani chadema wako kenya
Uchaguzi wa wakenya unawahusu wao sisi tuendeleze mahakama zetu huru tunazoziamini badala ya kufikiria mambo mengine
Hii ndo shida ya wabongo
Wakati dunia nzima wanajadili walichojifunza kwenye uchaguzi wa kenya wabongo wanaongea ubongo ubongo wa kibongo
Sent using...
Hivi hao wachezaji tuliowaona juzi
Wamo kwenye Timu ya taifa au ni wageni
Tutafute na kuandaa wachezaji wetu chipukizi badala ya kuendela kusajili wachezaji wa nje
Nani staika hapa tanzania anaye weza fanya ukatoka nyumbani ukujiamini siku Taifa stars wanacheza na Cameroon
Mavugo
Okwi
Niyonzima...
Kuna kuongea mpira ki ushabiki
Kuna kuongea mpira ki uhalisia
Hata nchi za wenzetu wanalunganisha sana dhamani ya investiment iliyotumika kwenye usajili na teturn yake(perfomance ya timu/mchezaji husiki)
Mpira ni biashara
Simba na yanga wana kawaida ya kutumia pesa nyingi sana kufurahisha...
Inaweza fanya jambo jema sana lakini ulatumia njia mbaya sana kulifanya
Inawezekena baadhi ya mambo yaliyofanywa kwa nia njema hayakufanyika kwa njia njema so kuna concequences zake
Japo wengine hatupendi sana ukweli ila ikwelu ni kwamba kuna baadhi ya maamuzi yanatughalimu .
Dun
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.