Recent content by kokboy

  1. K

    Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

    haija wai tokea, redio ya wafu ikasifia chama makini, achana na mabwege, vibonde, vibaraka, watumwa wa mafisadi, nawe km ni mmoja wao kufie mbali!!!!!! alaaaaaa!!!!!
  2. K

    Hongera Lema! Hongera Chadema!

    :target: SHETANI mkubwa nape, fisadi, gamba nape, tena we tulia tu usipo kimbia nchi mapema tutakutupa kwenye kale ka msitu kenu ka Magwepande
  3. K

    CCM sasa yapoteza mwelekeo baada ya agizo la JK la kutotegemea polisi kuidhibiti Chadema

    akuna kinachoweza kudhibiti nguvu ya umaa, ccm muda umefika sasa yapasa kua chama cha upinzani:majani7:
  4. K

    Sina imani tena na Chadema

    Kwa kila kijana wa ki tanzania nazani ni wakati mzuri wa kujifunza siasa na vita ili vizazi vijavo vije kua huru kujifunza hesabu na sanaa. Kuiondoa ccm ni jukumu la kila kijana sawa na kutetea maisha yetu dhidi ya adui, nazani kwa staili yoyote 2015 ccm itoke....
  5. K

    Polisi Kuwasaka Waliompa JK Siku 100

    we unaogopa kufa, kwa TZ sasa ni bora kuukumiwa kunyongwa kuliko kuishi kwenye haya madudu
  6. K

    Chama cha conservative cha Cameroon na CHADEMA

    wewe ujui usemalo, na mawazo yako ni finyu sana, unashindwa kuelewa nini kua CHADEMA kitapaswa kutawala nchi kwa misingi ya katiba ya nchi? km katiba yatu hairuhusu hilo basi huo ndio msimamo wa nchi, regadless chama gani kitatawala, chadema kina viongozi makini na wafuasi makini, hilo tatizo...
Back
Top Bottom