hapa kuna tembo weupe kibao wasio hata na meno (pembe). wamejenga nyumba bila kufanya market research na kujua purchasing power ya wateja wao. matokeo ni kulalama kuwa wasiporuhusuwa kuuza nyumba zao kwa wageni basi zitawadodea. Magufuli anakazi kweli ya kutumbua, maana ni majipu tambaazi.
Wamekua kama wale wa igizaji wa vichekesho vya vioja mahakamani wa hapo kenya. angalia baadhi ya wanasiasa wao, kuna wanaofanana na kina ondieki mkokota, josefati,nk. hasa wanapotetea mafisadi.
mlicheza karata zenu vibaya wakati wa kumpata mgombea wenu wa urais sasa mkubali maumivu tu.
na huu utendaji wa Magufuli ndio utawamaliza kabisa, #majuto ni mjukuu.
Kuundwe tume ya kushuhulikia mishara ya watumishi wa umma wote bila kubagua, wakiwemo wabunge. si haki hata kidogo kuwaachia wabunge kujipangia mishara yao, moja ya kazi yao ni kutunga sheria na wala si hii ya kujitungia mishara na marupurupu makubwa.
wana achwa wajigawie wenyewe keki ya...
mambo mengine yanatakiwa kuwa siri. sioni umuhumi wa matangazo haya, tungeona matokeo tu baada ya kusomwa hizo cv, kama zipo.
wengine tulikuwa tunajua sifa za ajira za hawa ni kuwa wengine ni makada.
Mimi na muomba mh Rais atumie hekima aliyo tumia kuona mapungufu ya sheria ya manunuzi ya umma na kuyaona pia haya mapungufu ya sheria ya ardhi hasa kifungu kile kinachotoa miezi 36 tu baada ya kumilikwishwa kiwanja mtu awe amesha kijenga.
Lazima tukubali hii sheria ina wabeba wenye uwezo wa...
baada ya ile sera ya kubadili gia angani kushindwa kufikia malengo tarajiwa mmeamua kuficha aibu kwa kuja na hii sera ya demoghasia, tuone nayo itawafikisha wapi?
ukawa/cdm baada ya kubadili gia angani na kushimda naona sasa mmeibuka na hili la demoghasia, sijui mbunifu wa hii sera nani, inasikitisha sana watu wazima na akili zao kuburuzwa na kushikiwa akili kama watoto wa chekechea.
Maalim si alijitangaza mwenyewe, yeye alingiaje kwenye uchaguzi bila ya kujua rules of the game. sasa baada ya kujitangaza mwenyewe ulitegemea zec wafanye kitu gani tofauti na walicho kifanya?
zinduka na washtue wezanko huko ukiwa tuko awamu ya tano. Kikwete aliwaambia ikweli mtupu in advance kuwa ukawa mtageuka kuwa ukiwa. mkashindwa kufanyia kazi huu ukweli, na ndicho tunachoshuhudia sasa ukawa imegeuka kuwa ukiwa.
Na mimi na kuambieni huu ukweli ukiwa you can't fight ccm, join...
wanafiki ni wale walioenda bungeni Dodoma huku wakijua kuna mambo hawakubaliani nayo, ndio maana hata hao mabwana zao huko ulaya wanaoenda kuwalilia kila wakati safari hii wamewapuuza baada ya kujua ujinga wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.