Ni majipu hayo utasikia tu waliopata maumivu muda si mrefuWanaficha nini si waweke na waliokuwa wamiliki wake?
Ni majipu hayo utasikia tu waliopata maumivu muda si mrefuWanaficha nini si waweke na waliokuwa wamiliki wake?
mkuu nadhani hoja hapa ni kwa wale waliobadilisha matumizi yaliyokusudiwa. au hawakufanya chochote kwenye mashamba hayo/viwanja hivyo. sasa hao uliowataja kama wameyatendea haki maeneo yao watanyang'anywa vipi?Sijaona yale yanayomilikiwa na Wazungu kule Arumeru, West Kilimanjaro na Mbarali ... Kulikoni? Taarifa ya Mdee inaonyesha kuwa Raia wa Kigeni wanamiliki Ardhi kubwa kuliko Watanzania ... Sanaa za CCM sasa zifike Mwisho ...
Sijaona yale yanayomilikiwa na Wazungu kule Arumeru, West Kilimanjaro na Mbarali ... Kulikoni? Taarifa ya Mdee inaonyesha kuwa Raia wa Kigeni wanamiliki Ardhi kubwa kuliko Watanzania ... Sanaa za CCM sasa zifike Mwisho ...
Je hayo mashamba yanayomilikiwa na wageni yanafanyiwa kazi? Ngoja tu watu kwenye dhamira njema wauziwe vijana wetu wapate ajira
Maeneo yenyewe sasa,Mbeya Manispaa,Moshi,Monduli na tabata.
Joto la Pombe hili.Hapa ni kazi tu.Dhuluma ilipita nini!?
Wanaficha nini si waweke na waliokuwa wamiliki wake?
Na ndiyo maana hakuna jedwali la majina ya Wamiliki wake!. Naanza kupata harufu ya kazi ile ya Azimio la Arusha!
Watendaji kutumia mwanya ule ule kwa maislahi binafsi-nilitegemea na majina ya wamiliki wake!
Madudu yanatengenezwa nyuma ya pazi tena bado kabisa Serikali nzima haijatimia kuundwa!
Sijaona yale yanayomilikiwa na Wazungu kule Arumeru, West Kilimanjaro na Mbarali ... Kulikoni? Taarifa ya Mdee inaonyesha kuwa Raia wa Kigeni wanamiliki Ardhi kubwa kuliko Watanzania ... Sanaa za CCM sasa zifike Mwisho ...
Ukiangalia tarehe za kubatilishwa milki utagundua kuwa ubatilishwaji umefanyika kabla ya JPM kuwa rais.
Mambo ya utawala wa JK.