Recent content by koh koh

  1. K

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    mitandao ya hovyo anapokuwa akisoma mrejesho wa habari alizozitoa,, au vichwa vinavyosoma mitandao ndio hovyo??!!!:p:p
  2. K

    Rais John Magufuli: Nikisema Ukweli, Watanzania Wenye Uchungu Mtalia!!!

    Sa anachelea nini kusema ukweli angali mpenzi wa MUNGU? Mi nataka kulia,, nautaka huo ukweli
  3. K

    Ultrasound machine inauzwa

    si mbaya ukiandika bei yake,na uko wapi mkuu
  4. K

    Sakata la Dawa za Kulevya: Askofu Gwajima atema cheche, adai RC Makonda anatumika

    sioni kwa nini jamaa wanatumia nguvu nyingi kuita press kutoa hoja zisizo wasafisha. Kibaya chajiuza kizuri chajitembeza,
  5. K

    Upweke unanimaliza, naombeni msaada

    mbona hata hapa bado waongea na watu wale wale?, huwezi kukosa kabisa mtu anayefahamu vyema mazingira ulonayo na akawa radhi kukusaidia. Msaada mkubwa unaanza kwa watu wako wa karibu,hapa tunakupa maoni tu ila ukiamua kuyafanyia kazi lazma urudi kwny jamii yako
  6. K

    Nape aijibu Marekani, ataka ianze kujinyooshea kidole kabla haijaiangalia Tanzania

    Tutaandika taarifa kwa umma kukanusha majibu ya Nape kwa wamarekani,stay tunned
  7. K

    Jaman World Vision wanatumia mda gani tangu deadline hadi interview.

    asante sana mkuu,,maana nlishaumiza kichwa sana
  8. K

    Upweke unanimaliza, naombeni msaada

    kaka waonekana unajitenga na jamii,,hata nafasi ya kukaa na watu kuongea tu yaweza kubadilisha muonekano wako wa kimaisha.Anza na kidogo ulichonacho,we anza na wazo linalokuja la kuinua uchumi. kadiri unavyojutia ndivyo unavyozidi kupoteza nafasi nyingi za kutoka. Anza kuishi kwa matumaini...
  9. K

    Je, umeshawahi pitia maisha magumu?

    pole sana mpendwa.. ukifanikiwa huyo mkeo akuonee ng'ambo...Mkono wa MUNGU Uwe juu yako, akuondolee maumivu yako na upate hitaji lako
  10. K

    Je, umeshawahi pitia maisha magumu?

    huu wimbo umekuwa pona yangu baada ya kupitia kipindi kigumu,, pamoja na nyimbo za matumaini za Tumaini Choir Arusha.. Kuna nguvu katika sala,, hakika Bwana Yesu huinua
  11. K

    Upendo Furaha Peneza: Umepotoka, Udaktari sio mchezo

    mkuu pathology ya diploma haiwezekani ikawa sawia na pathology ya bachelor,unafahamu usirahisishe kisomo. Masomo yako simplified kulingana na level na wadau wanaopata uchungu kama nilionao watakubaliana nami umuhimu wa miaka mitano usipuuzwe.
  12. K

    Upendo Furaha Peneza: Umepotoka, Udaktari sio mchezo

    Six good years!!!, mi nashindwa kuelewa watu wanatafuta nini kwenye afya. Tengenezeni mabomu tu yakianza kulipuka ndo mtaelewa fani imeingiliwa kifafa.. Med school sio trial, wafanye watu kwa kupenda na sio kukimbizana ili jamaa wawahi ajira.
Back
Top Bottom