Ukweli wa huu ugonjwa (The source) ni muhimu dinia kuujua. Na kama ikibainika ni China wameutengeneza basi Dunia yote iungane kuiadhibu china na Mali zake including fedha na madeni yake ya nje yataifishwe, yani kama kuna nchi Yoyote inayodaiwa na China basi hakuna kulipa au kama kuna Mradi...
Mbowe anasema kama yeye ni mchafu kama maccm yanavyotaka kuaminisha watu basi kipindi cha Mwendazake mahakama zingekuwa zimeshamuhukumu kwa ubadhirifu au rushwa?
Ila kiukweli watanzania tuliwezekena kwa muda wa miaka 5.
Hakuna aliyeweza kuhoji chochote kilichosemwa au kufanya na wenye mamlaka no matter was good or worthless
Simulizi nzuri.
Binafsi nashauri mama afanye ziara Israel awaalike waje hapa Tz kama wawekezaji sababu tunamaeneo makubwa. Waje waishi huku na kuiendeleza Tanzania kwapamoja.
Mimi nadhani njia nzuri ya kuulinda muungano wetu ni kuunda nchi moja na serikali moja (Tanzania) hapo hizi kero litakuwa zimekwisha.
USA ni muunganiko wa zaidi ya Mataifa 50 na hakuna tatizo la muungano wao sababu nchi zote zilizoungana zilikubali kupoteza uraiya wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.