Labda nyumba ya milele 😂😂😂 Natania ....
Muhimu uthubutu, kama nafsi yako imesema unaweza bas ninaamini utaikamilisha. Usisubiri pesa ijae, ukisave hata 30k nunua tofali jaza kwenye kiwanja.
Jipe moyo ukianza ndio kwenye ushindi wenyewe
😂😂 Sijajua wanatumia vigezo gani, ila hii nimeshuhudia kuna kampuni unaacha laki 5 mezani, ndo unatoka na gari.
Nadhani kazi hizi zinaenda kwa uaminifu kama daladala vile, boss unakabidhi gari lakini anajua jioni linarudi salama bila kuibiwa chochote.
Upande wa kutanguliza pesa, inategemea na...
Kwanza usome chuo ambacho kipo karibu na home, kama mkoani uwe unakaa kwa mtu bila kulipa kodi,
Pili boom lako lisihusike na kulipa ada, yaani uwe full funded na heslb
Tatu, usiendekeze kula cafe, uwe na ratiba ngumu ya msosi, na msosi wa usiku ni lazima uwe unakula home.
Usiwe na majukumu...
Biashara inategemea na eneo ulipo, na tonne za gari, ama ujazo. Pia inategemea na bei uliyonunulia gari, na roho yako kama ni nzuri ama ya kikatili.
Gari ya tonne 2 hesabu 50k
Gari ya tonne 4 hesabu 100k
Za huko juu kuanzia 250k hadi 550k kutegemea tonne za gari na eneo gari inapofanya kazi...
PART TEN (FINAL)
Baada ya kupata misukosuko sana ya ajali nilikuwa na mawazo sana, kiimani nilishajua wapi nimeharibu kupelekea hali hii, niliwaza niende kwa mganga nikaoshwe mana watu wengi wa karibu yangu walisisitiza hili mpaka ikawa kero.
Lakini mawazo hayo ni kama yaliingia na kupitiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.