Kuna mshenzi simsahau, alikuwa anaonesha banda la sinema, watoto tuliokuwa hatuna hela ilikuwa anakuwekea kubeli mdomoni ndo unaingia kuangalia movie. Watoto tulikunya hiyo siku 😂😂
Kuna mshenzi alinifundisha ya kufungia nzi wengi kwenye kifuko cha barafu, af unawafunga pale kwenye tango, kisha unawapiga wachezecheze, atumie hii hatajuta. 🤣🤣
Kuna denti mmoja anasoma jangwani secondary, namkutaga sana pale club ya Yanga, mwanzo nilikuwa nambeba,
nilivyoanza kusikia tu wasiokua na akili, siku hizi nampita kama simjui. Maskini tunashida kwenye ubongo.
Kama hafahamu jinsi ya kuagiza gari nje, ni bora akaenda kununua showroom, kwani kuna uhakika ananunua kitu anachokiona. Huko nje hata aagize vipi kwa ist ataokoa 2m au 1.5 kwa pesa hiyo ni kheri aepuke risk ya kuibiwa, na presha ya kufika kwa gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.