Recent content by kocha Nabi

  1. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Radiology utanishukuru baadae, ukimaliza dip usiuweke maliza kabisa na bachelor.
  2. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    Naombeni ufafanuzi wakuu hivi ule mkanganyiko wa kifo cha Leadermore uliishaje? Maana ID yake iliwekewa RIP lakini baadae ikatolewa.
  3. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Amekutana na mziki wa Seran kivumbi leo.
  4. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kanikimbia, akazae mbali

    Kaenda kwa mumewe huyo, saivi anaichakata tu. Ila wanawake 😂
  5. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Tufurahi kidogo:Je una historia gani na kuberi?

    Kuna mshenzi simsahau, alikuwa anaonesha banda la sinema, watoto tuliokuwa hatuna hela ilikuwa anakuwekea kubeli mdomoni ndo unaingia kuangalia movie. Watoto tulikunya hiyo siku 😂😂
  6. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Matatizo yanayowakumba wafanyaboashara Tanzania

    Well said
  7. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jaribu kuuliza hili swali kwa mchumba/ mke wako

    Kuna mshenzi alinifundisha ya kufungia nzi wengi kwenye kifuko cha barafu, af unawafunga pale kwenye tango, kisha unawapiga wachezecheze, atumie hii hatajuta. 🤣🤣
  8. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Majirani wananiona mkatili napowanyima lifti wanafunzi wao wa kike lakini acha tu nipewe lawama, hizi nyaraka za serikali ni too delicate

    Kuna denti mmoja anasoma jangwani secondary, namkutaga sana pale club ya Yanga, mwanzo nilikuwa nambeba, nilivyoanza kusikia tu wasiokua na akili, siku hizi nampita kama simjui. Maskini tunashida kwenye ubongo.
  9. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Ommy Fitness: Kukimbia ni zoezi baya sana lisilofaa kufanywa. Halina msaada

    Akili alipeleka wap? Wanyama wenyewe wanakimbia ndo waishi. Au alitaka wavae skechers ndo aone wanakimbia. Hivi simba, duma, chui, swala, nyumbu na wengineo anawachukuliaje.
  10. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Msimuliaji unajivunja sana mkuu.
  11. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Wateja wa matairi ya malori wanapatikana wapi?

    11.00 R 20 unazo?
  12. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Tupe details za hiyo ajali ndo tutaweza pata ufumbuzi kama picha za ajali, na number ya gari
  13. kocha Nabi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kununua gari ndogo (IST)

    Kama hafahamu jinsi ya kuagiza gari nje, ni bora akaenda kununua showroom, kwani kuna uhakika ananunua kitu anachokiona. Huko nje hata aagize vipi kwa ist ataokoa 2m au 1.5 kwa pesa hiyo ni kheri aepuke risk ya kuibiwa, na presha ya kufika kwa gari
  14. kocha Nabi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ubarikiwe
Back
Top Bottom