Recent content by kmbwembwe

  1. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haizuii Rais na Makamu wake kuwa dini moja

    kuna maeneo ya jamhuri yetu wasioyokua watanzania waafrika wanapenya kutekeleza ndoto zao kua wabunge. Wahindi waarabu ndipo wanapitia kuingia bungeni kulinda maslahi ya tabaka lao la bwanyenye wafanya biashara. Maeneo ya dodoma singida na tabora wanatoa wali na kuhonga vihela wanapata ubunge...
  2. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Tatizo kubwa lililopo sasa ni moja tu,viongozi wetu wamediliki kuisigina misingi na miiko ya kimaadili

    Hakika umenena hoja sahihi kabisa.
  3. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Unadhani January Makamba akijiunga Chama Cha rafiki yake Zitto Kabwe kule ACT wazalendo hali itakuwa Ngumu kwa CCM kama 2015?

    Mbona Januari ni mwanasiasa asiyependwa kabisa. Mwenyewe anajiamini bure tu. Anajiona kama ni mwanasiasa mashuhuri sana. Ni mtu wa mashoo tu anautaka urais kujipatia utajiri na kujidai ucheki bob kwenye urais. Ni mtu mbinafsi kiitikadi na mwenye kuihusudu marekani na wanasiasa wake kama baraka...
  4. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hapo mama teuzi zake za kina Yûpo tu atatuwekea konda makamu. Natumaini kama hii habari sio uzushi Nchimbi hatakubali kujiuzulu kwani anasema kweli. Mama haoni wala haelewi maana itikadi yake ni kula kwa urefu wa kamba halafu ameng'ang'ana kuongoza chama cha kijamaa. Yeye uongozi kwake ni kazi...
  5. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Waarabu Zanzibar na Watutsi maziwa makuu wote walikuwa walowezi wakoloni

    kama watutsi kubaki maeneo maziwa makuu wanadai lazima wao kutawala kama wanavyotawala rwanda itabidi warudi ethiopia ili maziwa makuu tupate amani. Huko watu wote wana pua refu kama watutsi. Si umeona zanzibar wale waarabu wasiokubali kuona walio wengi wanaongoza, au tuseme wasiotaka demokrasia...
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Serikali itoe ufafanizi kuhusu tetesi za mfumo wa uhamiaji KuCollapse maana kuna baadhi ya viashiria vipo

    Binafsi nilivyosikia eti wawekezaji wakubwa nchini sasa ni UAE nilishitika maana navyofahamu nchi hiyo kwa sasa ni imeshikwa pua na israel. Kwa hivyo uwekezaji kutoka huko tujue kuna Israeli. Yaani UAE ni trojan horse ya israeli. Kwani israeli ni hatari. Nchi hiyo ni wamafia kwa asili. Wakiingia...
  7. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Zanzibar yangefanyika leo hii, viongozi wetu wa sasa wangesimama upande gani? Wa Waarabu au wa Wazalendo?

    The killing of arabs in 1964 during the zanzibar revolution was nothing compared with the inhumanity suffered for more than 300 years by the african population. Slavery, discrimination and all kinds of vice done to the black people. You cannot compare. That why the Arab community itself remained...
  8. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Waarabu Zanzibar na Watutsi maziwa makuu wote walikuwa walowezi wakoloni

    Ukoloni Zanzibar haukuanzia kwa waingereza bali kwa walowezi waarabu wa Omani ambao walihamia zanzibar pamoja na ndugu ya sultani wao ambapo walimuweka akawa sultani wa zanzibar na kuanzisha utawala wa ukoloni wa kilowezi wa kiarabu. Waomani hao wakatawala eneo la zanzibar na pwani ya afrika...
  9. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

    Hebu sema mama kafanya nini na nini. Usiwe ni kama yule alisifu mama kwa kutoa hela na kusema amejenga nyumba ya ya kwanza kariakoo na kuoa mke wa pili kwa upigaji hela mama anazosambaza ovyo kwa maana bila uangalizi. Saa hizi ndio tunaona mwigulu nchemba ameanza kupambana na hao walaji kwa...
  10. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania imani ya dini iliwahi kupigwa vita na wasomi ulaya mabepari wakipinga

    Katika historia ya ulaya enzi ya utawala wa Roma ukristo ulienea na kuweza kua na nguvu kubwa kwenye maisha ya watu. Sheria za kanisa zikawa na nguvu kwenye utawala na wafalme au watawala wasingeweza kuongoza bila kukubaliwa na kanisa. Ukristo ukawa na nguvu hadi kupeleka jeshi mashariki ya kati...
  11. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu: Kitima, huu muziki wa Waislamu huuwezi, DAMU ITAMWAGIKA! Tunayo mengi ila tumekaa kimya kuhusu Wakristo

    Wanazuoni gani wajinga tu. Kitima ana kosa gani? Labda wanafikiri uchochezi ni chochote kinawauthi wao. Kwanza hapo wenyewe hao wanajiita wanazuoni ndio watu wa kuchukuliwa hatua kwani wamefanya tishio la kumwaga damu.
  12. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Script imeshaandikwa tayari wale ‘waliomshambulia’ dada fake wa kikatoliki wamekamatwa

    Eti jicho halijapata wekundu kabisa kwa iko kipigo. Yote ni miradi ya kuvuta helaya umma. Ukifanyika uchunguzi haki ya mungu nasema mtakuta wahuni wanavuta hela ya umma au ni hela za watu wenye maslahi binafsi na huu utawala wa wahuni wapigaji.
  13. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Uvumilivu wa IPTL Walipa Katika Mzozo wa Dola Milioni 168 na Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong

    Kesi za matapeli tu nawapigaji. Maelezo ya kesi mtu wala huwezi kuelewa labda kama unataka uwakili kwenye iyo kesi. Mwisho wa uhuni huu ni kupigwa hela ya umma . Huyu seth singa alishakula ile hela ya tanesco mabilioni sasasijui anataka kula huko hong kong au ni kuja kula tena hela ya umma maana...
  14. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu Hassan Mimi Sikutambui, Wewe si Rais Wangu

    aisee umegonga sawa kabisa.
  15. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Naona kidogodogo Ikulu ya JMT inahamia Zenji. (Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar)

    Huyu mtuni bahati mbaya sana amekua rais wa tanzania. Amerithi marehemu kisha kua king'ang'anizi kwa kutumia ubabe kwenda kinyume cha katiba ya chama chake kuhusu uteuzi wa mgombea urais na kutoa matokeo ya uongo ya uchaguzi wa urais.
Back
Top Bottom