Recent content by kmbwembwe

  1. kmbwembwe

    Rais Samia anayepingwa kwa uzanzibari wake ndiye amefanya makubwa kuliko hao Marais wa Tanganyika

    Hebu sema mama kafanya nini na nini. Usiwe ni kama yule alisifu mama kwa kutoa hela na kusema amejenga nyumba ya ya kwanza kariakoo na kuoa mke wa pili kwa upigaji hela mama anazosambaza ovyo kwa maana bila uangalizi. Saa hizi ndio tunaona mwigulu nchemba ameanza kupambana na hao walaji kwa...
  2. kmbwembwe

    imani ya dini iliwahi kupigwa vita na wasomi ulaya mabepari wakipinga

    Katika historia ya ulaya enzi ya utawala wa Roma ukristo ulienea na kuweza kua na nguvu kubwa kwenye maisha ya watu. Sheria za kanisa zikawa na nguvu kwenye utawala na wafalme au watawala wasingeweza kuongoza bila kukubaliwa na kanisa. Ukristo ukawa na nguvu hadi kupeleka jeshi mashariki ya kati...
  3. kmbwembwe

    PostGE2025 Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu: Kitima, huu muziki wa Waislamu huuwezi, DAMU ITAMWAGIKA! Tunayo mengi ila tumekaa kimya kuhusu Wakristo

    Wanazuoni gani wajinga tu. Kitima ana kosa gani? Labda wanafikiri uchochezi ni chochote kinawauthi wao. Kwanza hapo wenyewe hao wanajiita wanazuoni ndio watu wa kuchukuliwa hatua kwani wamefanya tishio la kumwaga damu.
  4. kmbwembwe

    Tetesi: Script imeshaandikwa tayari wale ‘waliomshambulia’ dada fake wa kikatoliki wamekamatwa

    Eti jicho halijapata wekundu kabisa kwa iko kipigo. Yote ni miradi ya kuvuta helaya umma. Ukifanyika uchunguzi haki ya mungu nasema mtakuta wahuni wanavuta hela ya umma au ni hela za watu wenye maslahi binafsi na huu utawala wa wahuni wapigaji.
  5. kmbwembwe

    Uvumilivu wa IPTL Walipa Katika Mzozo wa Dola Milioni 168 na Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong

    Kesi za matapeli tu nawapigaji. Maelezo ya kesi mtu wala huwezi kuelewa labda kama unataka uwakili kwenye iyo kesi. Mwisho wa uhuni huu ni kupigwa hela ya umma . Huyu seth singa alishakula ile hela ya tanesco mabilioni sasasijui anataka kula huko hong kong au ni kuja kula tena hela ya umma maana...
  6. kmbwembwe

    Samia Suluhu Hassan Mimi Sikutambui, Wewe si Rais Wangu

    aisee umegonga sawa kabisa.
  7. kmbwembwe

    Naona kidogodogo Ikulu ya JMT inahamia Zenji. (Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar)

    Huyu mtuni bahati mbaya sana amekua rais wa tanzania. Amerithi marehemu kisha kua king'ang'anizi kwa kutumia ubabe kwenda kinyume cha katiba ya chama chake kuhusu uteuzi wa mgombea urais na kutoa matokeo ya uongo ya uchaguzi wa urais.
  8. kmbwembwe

    Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

    Umesema kweli ni vita vya kisaikolojia tu wanafanya wala hawana ubora kuliko waafrika wengine maziwa makuu. Wanajiamini bure kwa maumbo yao ya urefu. Wanafikiri urefu wa mwili ndio ukubwa wa akili. Ukweli wabantu wanadharau mbari yoyote isiyoenda jando kama watutsi na wahima wengine. Hiyo pia...
  9. kmbwembwe

    Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

    Hapana kagame sio putin wa afrika. Kagame ni kitu kibaya sana kwa afrika. Kagame ni muuaji wa halaiki, ni umbari ni ukaburu, kagame ni CIA, ni mossad. Ni kiburi ni dharau, ni uongo ni ulaghai, ni unafiki, ni hila, ni wizi, ni war lord. Acha tu, kagame ni kitu mbaya sana kwa afrika.
  10. kmbwembwe

    Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

    Historia ya kagame inaonyesha tokea tangu mtoto kua mkimbizi nchini uganda. Kwa watu waliyomjua walipokuja tanzania na museveni baada ya kua mkimbizi tena tanzania alipokua anapata mafunzo ya kijeshi wanasema alikua mtu mwenye mtazamo wa siasa za kimbari zaidi. Katika mafunzo kikundi chao chini...
  11. kmbwembwe

    Tchisekedi anavyochezeshwa rumba na Marekani

    Marekani kupitia wakala wake mkuu maziwa makuu Paul Kagame walishakubaliana mpango wa namna ya kudhibiti madini ya congo kwa kuhakikisha nchi ya congo haitawaliki. Kagame ndio msimamizi mkuu. Yeye mpango wake ni kuhakikisha nchi ya congo na maeneo yote maziwa makuu yanakua kama vichuguu vya...
  12. kmbwembwe

    Hivi mtu mwenye akili unatumiaje simu ya Itel, Infinix na Tecno?

    Utakua limbukeni au unapigia chapuo biashara za simu kali.. kwanza ujue mwenye akili hanunui kifaa kwa kujionesha ufahari ila kufuatana na mahitaji. Hapa natumia infinix na bila shaka nitasomeka.
  13. kmbwembwe

    PostGE2025 List: Rais Samia ni namba 4 kwa watu wenye nguvu zaidi duniani

    Itakua ni wale wajinga wa kizenj '...ushanfahamu?'...🤣
  14. kmbwembwe

    PostGE2025 Mama Samia utaongoza nchi ya matukio tu! kwa miaka yako yote iliyobaki!

    Ukweli watanzania hawamtaki kabisa samia kama rais wao. Anang'ang'ania kwa kua ameingia ikulu kufanya biashara. Wahuni wenzake wamemuingiza ikulu wafanye biashara. Watanzania walishasoma moyo wake wa uroho wa mali na ni mtu mbinafsi. Hana huruma wala upendo kwa mtanzania wa hali ya chini. Kama...
  15. kmbwembwe

    Watanzania bara hawana udini

    Ila kwenye siasa utakuta waislamu fulani..ni wachache tu anamtetea rais mhuni kwa bidii kwa kua eti dini yake. Tuacheni wandugu. Tusiruhusu viongozi wabovu kutumia dini kujilinda madarakani.
Back
Top Bottom