Hapana kagame sio putin wa afrika. Kagame ni kitu kibaya sana kwa afrika. Kagame ni muuaji wa halaiki, ni umbari ni ukaburu, kagame ni CIA, ni mossad. Ni kiburi ni dharau, ni uongo ni ulaghai, ni unafiki, ni hila, ni wizi, ni war lord. Acha tu, kagame ni kitu mbaya sana kwa afrika.