Recent content by klorokwine

  1. K

    Kweli nimeamini ACT wazalendo ni tawi la CCM

    Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho, yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM. Kwa tafsiri nyepesi ni...
  2. K

    TCRA yaipa onyo kali TBC1 kwa kosa la Ubaguzi wa kusoma habari za Magazetini

    MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imekipa onyo kali -kituo hicho kwa kitendo chake cha kubagua kusoma taarifa zinazohusiana na vyama vya siasa. Hukumu hiyo ilitolewa leo jijini Dar es Salaam na kamati ya maudhui ya utangazaji, katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano na Kaimu Mwenyekiti wa...
  3. K

    Amtimua mwanae nyumbani kwa kushabikia CHADEMA

    Mwananyamala kwa msisiri sindio kilikua kijiwe cha le profeseri kabla hajawa mwamba?
  4. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Hii ni hotel au gest?
  5. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Naulizia mwenye direction ya kebbys tafadhali.
  6. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Kwani wanaotuongoza we unaona wanakuaga timamu mda wote?
  7. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Ni just for drinks na chakula,sio kudinyana boss.
  8. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Ni just for drinks na chakula boss,sio kudinyana.
  9. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Iko mwenge maeneo gani kiongozi?
  10. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Usikariri mkuu Watu 8,ku enjoy sio lazima mpaka ufukweni.
  11. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Kwani inanini Madame B
  12. K

    Msaada: Hotel nzuri Dar

    Wakuu, Naomba mnijuze ni hotel gani nzuri naweza kwenda kuenjoy week end hii nikiwa na totoz yangu pembeni kwa Dar?Maeneo yawe kati ya Airport,Ilala,Changombe,Survey au Kinondoni . Msaada wenu tafadhali,Kejeli staki,niko serious kidogo
  13. K

    GE2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Nani kakujulisha kama atashinda uraisi. Chini ya serikali hii hii ya ccm unashuhudia ufisadi mkubwa hapo wizarani kwako,lakini bado unashadadia raisi ajaye atoke tena ccm. Umelogwa wewe.
Back
Top Bottom