Kweli nimeamini ACT wazalendo ni tawi la CCM

Kweli nimeamini ACT wazalendo ni tawi la CCM

klorokwine

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
378
Reaction score
33
Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho, yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM.

Kwa tafsiri nyepesi ni kwamba ACT wanataka kuzuia mafuriko kwa kiganja.
Yaani kugawa au kupunguza wafuasi watakaokua wanaelekea Jangwani.

Cheap politics ACT..
Cheap politics Zitto..
 
Hapana Mkuu haupo sahihi,kwa hili utakuwa hauwatendei haki. ACT wanazindua kampeni zao siku ya Juamapili tarehe 30 kwenye Viwanja vya Zakhiem Mbagala. Na hata hivyo tume ya uchaguzi inasema chama kimoja kikiwepo Mkoa fulani siku fulani kingine hakiruhusiwi kuzindua kampeni siku na Mkoa huo huo.
 
Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho,yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM.
Kwa tafsiri nyepesi ni kwamba ACT wanataka kuzuia mafuriko kwa kiganja.
Yaani kugawa au kupunguza wafuasi watakaokua wanaelekea Jangwani.
Cheap politics ACT..
Cheap politics Zitto..


Ukiitwa mpumbavu au lofa unalia.
 
Mleta mada ACT watazindua tarehe 30.08/2015 kule Mbagala. Na kwa hakika wenzao na ACT a.k.a CCM watajaa kule kumpa support CCM C.
 
Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho, yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM.

Kwa tafsiri nyepesi ni kwamba ACT wanataka kuzuia mafuriko kwa kiganja.
Yaani kugawa au kupunguza wafuasi watakaokua wanaelekea Jangwani.

Cheap politics ACT..
Cheap politics Zitto..

Hiyo ni fikla zako tu ndugu,kampeni zikishafunguliwa kuna kuachiana nafasi?
 
Umefanya vyema kumpa habari sahihi, japo act ni wasaliti
 
Katika dunia inayojinasibu kuwa ya kistaarabu matumizi ya lugha zisizo za kistaarabu huondoa ustaarabu wenyewe, huna haja ya kuelezea hoja au kumwelekeza mtu kwa kutumia lugha isiyo na staha, nawe unakuwa huna tofauti na yule anaetumia lugha ya kuudhi kwa wananchi waliowahi kumpa nafasi ya kuongoza.
Tujipambanue kwa utumiaji wa lugha yenye staha, hata adui wako kisiasa atataman kuwa km ww, na hili linaeza kukujenga kuwa mstaarabu kwan tabia ni mazoea.
Ahsante km utanielewa.
 
act.ritz.one.zzk .gawa kura za ukaw.


picha ya avatar yako inaonyesha usivyokuwa na maadili, kuna kila dalili utakuwa ni mtoto wa nje ya ndoa, na mama yako atakuwa alikuwa baamedi maarufu maeneo ya pasua kule moshi, matatizo ya kukua humjui baba yako
 
1440730534838.jpg
 
Niwaulize mliozaliwa na kupata kazi kabla 1992je uliweza pata kazibila kipande cha vijana nyie wa digtal usijibu msaana najua hamjui maaana hata hamjui hstor ys nchi yenu
 
Mbatia mlimuita Ccm B,the same tu Cuf sasa ni ACT kwa hiyo Wapinzani wa kweli ni nan sasa?
 
Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho, yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM.

Kwa tafsiri nyepesi ni kwamba ACT wanataka kuzuia mafuriko kwa kiganja.
Yaani kugawa au kupunguza wafuasi watakaokua wanaelekea Jangwani.

Cheap politics ACT..
Cheap politics Zitto..

Hakika we ni nyumbu yaan unakimbia kimbia kwa mkumbo tuu hata hujui unaelekea wapi,na hata kama act wangefanya mkutano jmos huna haki ya kuwabeza coz tupo ktk mfumo Wa vyama vingi ,kunguni wewe
 
Kwani kuna ulazima gani kwa ACT kuzindua kampeni zake siku ya kesho kwenye viwanja vya Mwembeyanga Temeke,Huku wakijua fika kua siku hiyo hiyo ya kesho, yaani tarehe 29 Aug 2015 makamanda wanakwenda kuweka histori ya kuikomboa nchi kutoka udhalimu wa chama tawala cha CCM.

Kwa tafsiri nyepesi ni kwamba ACT wanataka kuzuia mafuriko kwa kiganja.
Yaani kugawa au kupunguza wafuasi watakaokua wanaelekea Jangwani.

Cheap politics ACT..
Cheap politics Zitto..

Nonsense.
 
Back
Top Bottom