Businesses Name,
1. Garama nafuu sana
2. Ni ya mtu mmoja tu, Haina mambo mengi
3. Haina ulazima wa kuandaa Hesabu za Kodi zilizo kaguliwa
4. Umiliki wa mtu mmoja, kwahiyo anaye milikia na jina la kampuni hazitenganishwi na hivyo ana maamuzi ya haraka
Habari Boss,
Naomba kusaidia kujibu swali lako hapo juu.
Asiye na NIDA hawezi kuwa mkurugenzi, kwa mantiki hiyo mtu yeyote mwenyewe NIDA tu,anasifa ya kuwa mkurugenzi.
Kwa ufupi mtoto wa miaka 2 hawawezi kuwa mkurugenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.