Recent content by klinbritetz

  1. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Habari WADAU JF, Maeneo mawili nataka nilime hayo maharge pamoja na ngwala, Maeneo ya Bwewe (karibu na wami) na maeneo ya Jitu (Tanga) Kuna mwenye uzoefu wa hayo maeneo?
  2. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni kuingia kwenye shida baada ya kusajili?

    Habari Mwana JF, Kwa uzoefu wa kutosha, miaka mingi, katika tathnia ya ushauri na biashara, nimebaini kwamba kampuni nyingi zimeingia kwenye shida na matatizo makubwa mnoooo, baada tu ya kusajili. Nime gawa makundi ya watu(kampuni na matattizo yake) KUNDI NO. 1 KAMPUNI ZILISAJILIWA NA...
  3. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Pole, Tanzania yetu ni rushwa. Ingia tra portal na ufanye makadirio mwenyewe. Ukikwama njoo kwa ushauri bure
  4. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Mahitaji kusajili kampuni Brela- For Tanzanians

    Businesses Name, 1. Garama nafuu sana 2. Ni ya mtu mmoja tu, Haina mambo mengi 3. Haina ulazima wa kuandaa Hesabu za Kodi zilizo kaguliwa 4. Umiliki wa mtu mmoja, kwahiyo anaye milikia na jina la kampuni hazitenganishwi na hivyo ana maamuzi ya haraka
  5. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Mahitaji kusajili kampuni Brela- For Tanzanians

    Habari Boss, Naomba kusaidia kujibu swali lako hapo juu. Asiye na NIDA hawezi kuwa mkurugenzi, kwa mantiki hiyo mtu yeyote mwenyewe NIDA tu,anasifa ya kuwa mkurugenzi. Kwa ufupi mtoto wa miaka 2 hawawezi kuwa mkurugenzi
  6. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Mahitaji kusajili kampuni Brela- For Tanzanians

  7. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

    Wabari jfs, Tunakumbushwa
  8. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Tuambiane ukweli:Jee umezindika biashara yako?

    Habari wadau, kwa wale wanahitaji kuweka mahesabu ya kampuni sawa
  9. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Je, unakwama kusajili kampuni au jina la biashara BRELA?

    Habari humu ndani,
  10. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Leseni ya Biashara haraka

    Nawashirikisha tu wadau,
  11. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Unahitaji kusajili kampuni na nembo za biashara? Nipigie

    0788104228
  12. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Kadiria Kodi kabla ya 31-March, epuka penati isiyo ya lazima ya Biashara au Kampuni yako

    link ni ya TRA kuomba TIN hakikisha una namba yako ya NIDA pia uwe na nmba ya simu, anuani ya makazi https://taxpayerportal.tra.go.tz/#/
  13. klinbritetz

    JamiiForums Tanzania Kadiria Kodi kabla ya 31-March, epuka penati isiyo ya lazima ya Biashara au Kampuni yako

    sidhani kama utaratibu huu bado upo Boss,
Back
Top Bottom