Kitu kidogo kinaweza poteza maana. Kitabu kinaitwa A Knight in Africa yaani Shujaa aliyepo afrika. Na neno knight lina refer wanishani wa Mfalme wa Uingereza. Hakiitwi A night in Afrika
Simkubali Gwajima as mchungaji sbb ya mambo yake ya hovyo. Lakini sioni sababu yoyote ya Bakwata kuwakana hawa watu. Kuwa sheikh sio lazima Bakwata wakutambue. Tangu lini Bakwata ipingane na Serikali. Ni taasis inayotumika siku zote. So as a Muslim sioni ubaya wowote wa masheikh hao kwenda misa...
Simkubali Gwajima as mchungaji sbb ya mambo yake ya hovyo. Lakini sioni sababu yoyote ya Bakwata kuwakana hawa watu. Kuwa sheikh sio lazima Bakwata wakutambue. Tangu lini Bakwata ipingane na Serikali. Ni taasis inayotumika siku zote. So as a Muslim sioni ubaya wowote wa masheikh hao kwenda misa...
Sio suala la mgomo baridi. Ndio wajibu wa wasanii. Msanii hasa wana Hip Hop ni watu walio front kuikemea serikali na jamii. Na honestly Kina nikki wameonyesha usomi na ukomavu mkubwa sana. Its a song ambao imefichwa kiasi msg lakini inaeleweka na si matusi.
I wish hizi juhudi za Bakwata kufanya kazi na serikali pia wangezitumia kuendeleza Uislam, ningeona umuhimu wao.. wanaacha jukumu la msingi, wamekaza kwenye UKAWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.