Acha Umasikini wa fikira.
Fanya kazi mtoto wa kiume. Kesho Familia na Ukoo wako watapata Ajira hapo. Piga kazi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mh.Kikwete alisema "Za kuambiwa changanya na za kwako" Dawa ya malaria ilipoanza wengi iliwadhuru. Kila dawa ina uzuri na ubaya kutokana na anayeitumia miili yetu haifanani.
Pole Pole amekuwa haraka haraka . Amekuwa kinyaaa. Hathaminiki tena ndani ya jamii. Dharau kwa binadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu, laana KUU itampata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini akipata MATAK. hulia mbwata.
Hakika Polepole kwa matusi , kashfa na dharau zako zimefika kikomo. Wote tu Watanzania mbona dharau zimezidi. Kuna maisha baada ya hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.