Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Hapa nadhani Mh alihadithiwa-
“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13,za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa,hawa ni wamama,hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu,lakini hapa ni wanaume wenye vifua,wenye silaha,wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”.Mhe.Mbowe.
Maana alikuwa shamba
Sent using Jamii Forums mobile app