Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
30/07/2021July 31/2021
30/07/2021July 31/2021
Hicho ndicho wanachotaka tangu miaka mingi; na bado muda kidogo ndugu malengo hayo yanaenda kutimia. Tumia simu yako kutafuta habari zipo kwa kila anayetafuta. Usipinge tu ukakunja mikono; tafuta kwanza ndipo upinge kwa hoja.Wangetaka kufanya hivyo wote tungesha malizika
chanjo ziko 1m na mpaka leo wamechanja laki nne kwa nini hazijaisha?Marekani watu 177 milioni wamechanja kati ya watu 360.
Hatujatoa watoto ambao hajachanja so utaona 70% wamechanja.
Uingereza watu 47 million kati ya watu 68 million.
Hao wachache sio case .
Taifa lilipoteza wataalam kwa sababu ya mjinga mmoja ambae hakutaka kuleta chanjo.
muueUkitaja jambo nusu nusu kwa makusudi una ajenda ya kusema uongo. Jacob Desvarieux alikuwa na kisukari kikali hadi alipoteza figo. Alikuwa na figo za kupandikiza. Ili figo hizo zifanye kazi ilikuwa ni lazima atumie dawa za kuzuia kinga (immunity suppressing drugs). Maana yake ni kuwa alikuwa hawezi kuwa na kinga yoyote, au chanjo ilikuwa haiwezi kumpa kinga. Ni sababu mojawapo alichanjwa mara tatu. That is an extremely isolated case not fit for a generalisation
Upinzani upo wa aina nyingi, kiitikadi, kisiasa na hata kijamii, hivyo hata kwenye tiba au sayansi ni mambo ya kawaida, kubwa ni uwezo wa kupima athari na kupata taarifa zilizokuwa za kweli na sahihi na zenye manufaa kwa mtu. Au kundi husika.Hicho ndicho wanachotaka tangu miaka mingi; na bado muda kidogo ndugu malengo hayo yanaenda kutimia. Tumia simu yako kutafuta habari zipo kwa kila anayetafuta. Usipinge tu ukakunja mikono; tafuta kwanza ndipo upinge kwa hoja.
Chanjo...! Wizi mtupu
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Mh.Kikwete alisema "Za kuambiwa changanya na za kwako" Dawa ya malaria ilipoanza wengi iliwadhuru. Kila dawa ina uzuri na ubaya kutokana na anayeitumia miili yetu haifanani.Mbona kuna wazungu wanaopinga chanjo za magonjwa yakawaida tu kama TB ? Au unafikiri wazungu kupinga chanjo kumeanzia kwenye covid tu ?
Jacob alikuwa na ugonjwa wa kisukari & kidney transplant.Afya yake kabla ya ujio wa Corona ilikuwa na mgogoro wa kutosha.Jacob Desvarieux mwanzilishi wa Band ya Kassav na dancing style ya Zouk, alikufa kwa covid 19, July 30/2020, akiwa amechanjwa chanjo 3..Bado aliambukizwa na kufa hatimaye kuzikwa kwao Guadelope.
tusikifiche utakaa na ujinga siku nyingi, hao 170m kuchanjwa, sio kigezo cha hao hao kusema waliingia chaka!Jacob alikuwa na ugonjwa wa kisukari & kidney transplant.Afya yake kabla ya ujio wa Corona ilikuwa na mgogoro wa kutosha.
Tusitafute sababu nyepesi za kukimbia chanjo kwa kukimbilia mfano ya kijinga tena isiyokuwa na mashiko.
Kuna siku mtu atagongwa na gari na kufariki tutakimbilia hoja nyepesi eti alichanjwa lakini kafariri.
USA watu zaidi ya 170 million wamechanjwa,unataka kuniambia nchi kubwa yenye maendeleo ya science & technology wako tayari kuangamiza idadi kubwa ya raia wake kirahisi rahisi !.
Unajua mkuu unaweza jikuta unaslap mtu? Wanatia hasira mno. Achana na manguloo hawaJacob alikuwa na ugonjwa wa kisukari & kidney transplant.Afya yake kabla ya ujio wa Corona ilikuwa na mgogoro wa kutosha.
Tusitafute sababu nyepesi za kukimbia chanjo kwa kukimbilia mfano ya kijinga tena isiyokuwa na mashiko.
Kuna siku mtu atagongwa na gari na kufariki tutakimbilia hoja nyepesi eti alichanjwa lakini kafariri.
USA watu zaidi ya 170 million wamechanjwa,unataka kuniambia nchi kubwa yenye maendeleo ya science & technology wako tayari kuangamiza idadi kubwa ya raia wake kirahisi rahisi !.
Hii inaenda sawa pia na watu walioaminishwa chanjo inafaa, ikatokea kuwaeleza facts kuhusu madhara ya chanjo kinyume na Imani zao bado wataendelea kukataaKuna kitu kinaitwa BACKFIRE EFFECT . yaani psychologically mtu anayeamini jambo kimakosa au kijinga ,ikitokea ukamweleza au ukamhubiria kwa kumpa FACTS kinyume na IMANI yake basi badala ya kumbadilisha yeye huimarika zaidi ktk ujinga ule.
Watu wengi waliokataa au ambao wameaminishwa kijinga juu ya CHANJO ukiwahubiria na kuwapa ukweli juu ya chanjo na matokeo yake basi wao wanaimarika zaidi. Hatuombei mabaya lkn serikali iendelee kutoa elimu.watu wachanje Hii shida itatumaliza.
Vip Israel pia ndg mshana, maana ni moja ya nchi iliyochanja sana lakini pia maambukizi yamepanda sana kwa week za karibuni, au wao sio wazungu piaUsiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Itakuwa kama chanjo ya mdonde, baada ya muda uchanje tenaUsijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
Kuna watu wa ajabu sana ambao hudhani kuwa watu wanaopinga chanjo ni watu wa hapa Tz tu "walioharibiwa" na uongozi wa awamu ya 5! Watu wakipinga chanjo lawama anatupiwa marehemu, eti aliharibu sana watu!! Inabidi watu waelewe kuwa upinzani wa chanjo ya orona upo duniani kote!! Ona nyomi hii ya watu mjini London Uingereza wakiandamana kupinga chanjo ya corona. Je hawa nak waliharibiwa na JPM?? Ni chizi tu anayeweza kuamini hivyo!!View attachment 1932699
Usiwaamini sana wazungu hao wanafanya maandamo baada ya kuchanja na maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana uingereza
Mkuu huyo unayemjibu huwa ni miongoni wa "much know" wa hapa JF, Mshana Jr ni mbobevu wa tunguri na ulozi tu basi!Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!
Kuna kitu kinasukumwa kwa kivuli cha chanjo.Usijidanganye!! Chanjo hii haijawahi kupunguza maambukizi!! Haizuii maambukizi!! Na sasa waliochanja mbili wanatakiwa wachanje ya tatu, hizo mbili hazitoshi!! Kisha mara kwa mara wameambiwa wawe wanachanjwa booster!! Hapo wakasema enough is enough!!